Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
- Thread starter
- #21
Hapa mkuu tupo ukurasa mmoja, ninakumbuka siku moja jinsi nilivyomsaidia sana huyu mbunge somewhere majuu, kununua malori mawili ya Fire kwa ajili ya jimbo lake, akiwa na mtoto wake mmoja wa kike, ambaye ni jaji wa mahaka Kibaha, huyu ni lazima ashinde tu na CCM wanajua sana kuwa hilo halina ubishi na wala huwa hawajisumbui,
Unless ametokea mgombea wao mmoja asiyelewa na mwenye hela sana, huwa wanamuachia na kumchela baadaye kwenye private zao.
Mkuu,
Nakuambia CCM nao huwa wana vituko,kwa mfano 2005 nilikua kule wakati wa Kampeni.Yaani nakuambia walikufuru kwa kumwaga hela,watu wanakodisha baa nzima ni pombe na mbuzi choma tu na mziki mnene.
Kesho yake karibu na eneo hilo hilo Ndesa akaingia,akamwaga sera huku watu wakimuita Mbunge mtarajiwa.
Nikajifunza kuwa CCM humwaga hela bila back up ya hoja,unakuta watu wana-concetrate kwenye mlo tu lakini anything to do na kupigia kura hyo next month ni ajenda nyingine.Kwa kweli niliwasifu sana wapiga kura wa huko maanke that's the only way ya kuwafundisha mafisadi kuwa pesa zao ni laana siku zote