Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,301
- 33,920
Kila mara hapa JF watu wanaoonekana kuwa Upande wa CCM ama Serikali hulaumu sana watu wanaoikosoa serikali ama CCM kwa hoja kwamba wanaoikosoa Serikali na CCM huwa hawaoni Mema na Mambo Mazuri yanayofanywa na Serikali au CCM? Wanahoji ni kwa nini kila siku kuna watu kazi yao ni kukosoa tu hata siku moja hawaisifii CCM ama Serikali inayoongozwa na CCM?
Leo ni nafasi ya wana CCM na waunga mkono Serikali nao kuorodhesha Mambo mazuri na ya kimaendeleo pamoja na mema yanayofanywa na upande wa Upinzani Hususani UKAWA!
Leo ni nafasi ya wana CCM na waunga mkono Serikali nao kuorodhesha Mambo mazuri na ya kimaendeleo pamoja na mema yanayofanywa na upande wa Upinzani Hususani UKAWA!