Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Kundi la akina mama wamekutwa katika jengo la saccos Kiwira ambalo bado halijaisha wakiwa na makada (wanaume) watatu wa CCM. Wanachadema wamezunguka eneo hilo na tayari polisi wamewasili. Ikumbukwe eneo hilo linatarajia kuwa na uchaguzi wa diwani kesho.
Source: Wapo radio
Source: Wapo radio