Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
Akina Thomaso utawajua tu! Haya mkuu. Wamekutwa kwenye jengo la Saccos ambalo bado liko kwenye ujenzi.
Asante sana jamaa yangu. Habari hii inasikitisha sana. Tandale?! Aibu!!!!
Akina Thomaso utawajua tu! Haya mkuu. Wamekutwa kwenye jengo la Saccos ambalo bado liko kwenye ujenzi.
Hivi kwanini Livingstone Lusinde ni mbunge wa Mtera kupitia CCM?Hivi kwanini JF inaruhusu darasa la saba kujiunga nayo?
Nimekua busy huku Arumeru sina update za huko, vipi na huko kuna uchaguzi au walikuwa wanatoa rushwa kutafuta nini?
kuna uchaguzi mdogo wa udiwani.
Mkuu habari haikuwa imejitosheleza. Kumbe waliopigwa mabomu ni wale.waliokuwa wamezingira. Mwanzoni nilidhani waliokuwa wamezingirwaMkuu Kimbunga, wale wakinamama wenu wa Magamba walikusanyika katika nyumba hapa Kiwira wakigawana rushwa, hata hivyo gawio lilikuwa la kupunjana, mmoja wao akajifanya Yuda Isakariote! Akachomoka kuwatonya viongozi wa CHADEMA waloamua kuizingira nyumba hiyo na kuwapigia simu polisi wa Magamba. Chakusikitisha hapa Tz. CCP polisi wetu wamefundisha kuwatetea Mgamba kwa nguvu zao zote hata kama ni kumwaga damu wa watetea haki, palisi walikOchokifanya hapa kiwira ni kuanza kurusha mabomu ya machozi hovyo hovyo ili kuwaruhusu akinamama hao kusepa kusikojulikana!. Kesho we subiri RPC wa Mbeya kukanusha habari hii vikali.
Kwa nini wasilichome hilo Jumba moto, au lenyewe haliko Jirani na soko?