Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.
Jana wakati James ole milya akizindua kampeni zake huko simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku lema akiwa amealikwa wanachama wa ccm 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chadema hili ni jimbo la ole sendeka mkoani manyara
Kuhama toka chama kimoja kwenda kingine ni haki ya raia. Kikubwa mbele yetu ni kura zitapigwa upande gani? Na hilo ndilo litakaloamua aidha kuna mabadiliko au hakuna.