Wana CCM 3000 wajiunga CHADEMA

hiyo ni idadi ya wanaccm jimbo zima , sendeka jitoe kwenye uchaguzi ili kupunguza aibu .
 
Kuhama toka chama kimoja kwenda kingine ni haki ya raia. Kikubwa mbele yetu ni kura zitapigwa upande gani? Na hilo ndilo litakaloamua aidha kuna mabadiliko au hakuna.
 
Mmekuwa mkihubiri mabadiliko, lakini nyie mnaotaka mabadiliko hamtaki kubadilika, mko vile vile, matendo yenu ni yale yale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…