Hawajavunja Katiba, Sheria, wala kanuni ya bunge. Hawajapiga mtu, wametoka kwa ustaarabu kuonyesha kwamba hawatambui matokeo ya urais, kwakuwa hapakuwa na njia nyingine ya kuonyesha dhamira yao hiyo, baada ya katiba kupinga matokeo ya rais kutopingwa mahakamani. Chambua mwenyewe kama ni Busara ama si Busara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.