Wana busara kweli

shanature

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
977
385
ona hiyo picho
 

Attachments

  • Hatutambui.jpg
    Hatutambui.jpg
    28.2 KB · Views: 54

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,980
9,558
Baada ya uamuzi wa wabunge wa chadema kutoka nje ya bunge wakati raisi akihutubia .JE WALITUMIA BUSARA,tufamishe ulivyolipokea

Hawajavunja Katiba, Sheria, wala kanuni ya bunge. Hawajapiga mtu, wametoka kwa ustaarabu kuonyesha kwamba hawatambui matokeo ya urais, kwakuwa hapakuwa na njia nyingine ya kuonyesha dhamira yao hiyo, baada ya katiba kupinga matokeo ya rais kutopingwa mahakamani. Chambua mwenyewe kama ni Busara ama si Busara.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom