Nimeshtuka sana na kutikisa kichwa kwa wamarekani wale waliombeza Obama. Sasa France april kuna uchaguzi na wanamtaka kugombea uraisi nchini humo.
Live BBC Mahakama wanaombwa watoe kibali.
Kwa lugha gani mkuu?Sizonje naye vipi hawajamuomba agombee kule!?
Kwa lugha gani mkuu?
Nimesikiliza hotuba zake akiwa kula South, anachomekea sana siku hizi maneno ya malkia.Lol! Atajijua mwenyewe labda ndiyo sababu hawajamuomba akagombee kule.
Nimesikiliza hotuba zake akiwa kula South, anachomekea sana siku hizi maneno ya malkia.