Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 501
- 986
Habari wanajamvi,
Mimi nikiwa km mdau wa kupiga vyombo ningependa niwawakilishe wala masanga wenzangu tunaopenda kuhudhuria kwenye hizi Baa na Lounge kupata moja mbili Bariiiiiiiidi.
Naona uwekezaji kwenye hii sekta umekuwa mkubwa sana kwa sasa lakini wamiliki wa haya maeneo wanapuuzia kufanya marekebisho au Usafi wa nguvu ktk haya maeneo hapa nazungumzia Vyoo.
Nimezunguka Bar na Lounge nyngi sana kwenye hii nchi(200+) lakini tatzo la uchafu na vyoo visivyoeleweka limekua Common kwny haya maeneo mengi niliyopita.
Wamiliki watilie mkazo na suala la Vyoo siyo kushindana tu kuweka wahudumu wazuri na wenye makalio makubwa na kusahau sehemu hii nyeti.
NAWASILISHA.
Mimi nikiwa km mdau wa kupiga vyombo ningependa niwawakilishe wala masanga wenzangu tunaopenda kuhudhuria kwenye hizi Baa na Lounge kupata moja mbili Bariiiiiiiidi.
Naona uwekezaji kwenye hii sekta umekuwa mkubwa sana kwa sasa lakini wamiliki wa haya maeneo wanapuuzia kufanya marekebisho au Usafi wa nguvu ktk haya maeneo hapa nazungumzia Vyoo.
Nimezunguka Bar na Lounge nyngi sana kwenye hii nchi(200+) lakini tatzo la uchafu na vyoo visivyoeleweka limekua Common kwny haya maeneo mengi niliyopita.
Wamiliki watilie mkazo na suala la Vyoo siyo kushindana tu kuweka wahudumu wazuri na wenye makalio makubwa na kusahau sehemu hii nyeti.
NAWASILISHA.