Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,718
- 6,441
Acha siasa, piga kitabu. Kulalamika hakutakusaidia.
Huo ndio ukweli someni wanafunzi,we mwache aendelee kupiga kelele wenzake wanasoma wanamaliza wanakuja makazini
Acha siasa, piga kitabu. Kulalamika hakutakusaidia.
Acha uzushi na kuharibu umma nani kapewa GPA ya 5 taja jina lake au register namba.unayajua masomo magumu wewe?
Pale gpa za kupeana, mfano kuna mwaka wa 4 wameenda India, nasikia wote wamepewa gpa ya 5 eti kwa kua walikubali kwenda India na hivyo kulipia gharama za kuishi kule na kuiongezea chuo kipato
pia ni rahisi kumkuta mhitimu wa chuo hiki ana gpa ya 5 au first class kali sana lakini kichwani mweupe na hakuna anachojua
wana jf,
kuna chuo kinaendeshwa na wahindi cha St Joseph kwa kweli kinajiendesha kwa mbinu chafu.
Wamekua wakitegemea njia za Panya kupata fedha ikiwemo kutoa sup kiholela ili wanafunzi wakifanya waweze kunufaikwa kwa pesa za sup(sup zinalipiwa), michango bubu kama vile kulipia tution kwa waliofeli supplimentary exams na kuzuia kimakusudi pesa za bumu wanazopewa na bodi ktk fixed account ili wapate cha juu na kusababisha wanafunzi wengi kuishi maisha ya shida bila hela. Mbaya zaidi wana watu wao bodi na TCU yani hata malalamiko yakienda hakuna kitu halafu wanajiita masista wa katoliki!
Kwa dhuluma hizo hizo wamezuia malipo ya mafunzo kwa vitendo kwa mwaka wa mwisho mpaka watakapokubali kukatwa madeni ya ada wanayodaiwa.
swali la kujiuliza, wanapata wapi hiyo jeuri? Wanapoamua kutumia ubabe kuchukua pesa za mafunzo kwa vitendo za wanafunzi wenye madeni ya ada, je haki iko wapi?
Moja ya chuo ambacho kitaleta technological change na changamoto kwa vyuo hapa nchini ni St. Joseph they are smart believe me...
huo ndio ukweli someni wanafunzi,we mwache aendelee kupiga kelele wenzake wanasoma wanamaliza wanakuja makazini
nyie acheni hoja butu kana kwamba hamkuenda shule,sa atasomaje na analala njaa,hana maji wala malazi? Kama huna hoja usije na hoja kama za kikwete hapa wenzako wanateseka ka kuomba ushauri we ndo ***** kuliko hata masista wa st.joseph
Atakuaje competent wakati teyari anasoma kwenye hicho chuo alichoita cha vilaza?
wana jf,
kuna chuo kinaendeshwa na wahindi cha St Joseph kwa kweli kinajiendesha kwa mbinu chafu.
Wamekua wakitegemea njia za Panya kupata fedha ikiwemo kutoa sup kiholela ili wanafunzi wakifanya waweze kunufaikwa kwa pesa za sup(sup zinalipiwa), michango bubu kama vile kulipia tution kwa waliofeli supplimentary exams na kuzuia kimakusudi pesa za bumu wanazopewa na bodi ktk fixed account ili wapate cha juu na kusababisha wanafunzi wengi kuishi maisha ya shida bila hela. Mbaya zaidi wana watu wao bodi na TCU yani hata malalamiko yakienda hakuna kitu halafu wanajiita masista wa katoliki!
Kwa dhuluma hizo hizo wamezuia malipo ya mafunzo kwa vitendo kwa mwaka wa mwisho mpaka watakapokubali kukatwa madeni ya ada wanayodaiwa.
swali la kujiuliza, wanapata wapi hiyo jeuri? Wanapoamua kutumia ubabe kuchukua pesa za mafunzo kwa vitendo za wanafunzi wenye madeni ya ada, je haki iko wapi?
R.c kabisa ? Ilo nalo ni janga la kitaifa