Hata angeleta picha za upande chanya bado ungedai za upande hasi.Kwa nini hujapiga picha za upande chanya, unakuwa interested kwa picha za upande hasi. "
Za upande chanya ziko nyingi saaaaaaaana hata nashindwa nipost ipi. kwa ujumla miaka 50, tumefanya mengi saaaaanaHata angeleta picha za upande chanya bado ungedai za upande hasi.
By the way hata wewe unaruhusiwa kupost hizo za upande chanya. kuwa huru.
Mkuu miaka 50 na mmefanya mengi imekujaje tena?Za upande chanya ziko nyingi saaaaaaaana hata nashindwa nipost ipi. kwa ujumla miaka 50, tumefanya mengi saaaaana
Mkuu miaka 50 na mmefanya mengi imekujaje tena?
Mi nilifikiri tunaongelea picha tuu?
Mbona unatumia nguvu nyingi kujinadi?
Za upande chanya ziko nyingi saaaaaaaana hata nashindwa nipost ipi. kwa ujumla miaka 50, tumefanya mengi saaaaana
Hili jambo lipo mahakamani.. Halipaswi kuzungumziwa kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa mahakama
Mkuu mmefanya wewe na akina nani? wewe ni nani?tumefanya mengi saaaaana
Wa hivyo hata Ulaya wapo. Kwa nini hujapiga picha za upande chanya, unakuwa interested kwa picha za upande hasi. Serikali ya JK, imefanya mengi. yapo mazuri, na vile vile yapo mabaya. hatutakuwa tunatenda haki kuhukumu kwa kuangalia upande mmoja. Kweli, wapo walio feli, ingawa pia wapo walio faulu. Ni kweli, waweza kuwa umeichoka serikali iliyopo madarakani, ila ihukumu kwa haki.
"MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA, YANAWEZEKANA - ILA, KILA MTU ATIMIZE WAJIBU WAKE"
Ni kweli, Ng'ombe hawezi kujua umuhimu wa mkia wake, mpaka utakapo katika. Like wise, huwezi kujua umuhimu wa uhuru, mpaka utakapo upoteza. Sisi tulio uona ukoloni, hatuwezi kutamani ukoloni. Ila kwa kuwa umezaliwa wakati wa uhuru, huna cha kufananisha. Kwetu ukoloni tunaujua, na uhuru tuna ujua.Hakuna lolo manake maendeleo yaliopo hayaendani na miaka 50 ya uhuru pamoja na rasilimali tulizonazo mimi nafkiri ni bora tusingepata uhuru manake mkoloni mweupe angetujali kuliko huyu mkoloni mweusi ccm ambaye mpaka sasa anaendeleza baadhi maendeleo yaliyoachwa na mkolon mweupe
Hili jambo lipo mahakamani.. Halipaswi kuzungumziwa kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa mahakama
Hata angeleta picha za upande chanya bado ungedai za upande hasi.
By the way hata wewe unaruhusiwa kupost hizo za upande chanya. kuwa huru.
Za upande chanya ziko nyingi saaaaaaaana hata nashindwa nipost ipi. kwa ujumla miaka 50, tumefanya mengi saaaaana