Wameshikwa Pabaya...

Wameshikwa Pabaya...

airGrid

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
973
Reaction score
784
Unajua mabadiliko huja kwa kufuata mkondo wa kawaida wa maisha ya mwanaadamu, kwa lugha nyingine huja ki-utani utani, hakuna kiongozi wala mtu yeyote Duniani anayeweza kuzuia MABADILIKO, Lowassa anakubalika si zaidi ya hapo, nikazi bure kutumia nguvu kubwa kukabiliana naye, tazama kukubalika kwake hakukuanzia Upinzani ila kulianzia Njano na Kijana kwenyewe, jina lake lilikatwa ki-utani utani, hawakujua nini madhara yake,

Sasa hawa wanaolipwa kuja kwenye vyombo vya habari wanapoteza muda kwani jina la Lowassa liko rohoni kwa watu c akilini, unaweza kupambana na AKILI za watu lakini kamwe huwezi kupambana na BUSARA za watu......mchezo unaofanyika ni wahatari kwa Njano na Kijani kwani umaarufu wa Lowassa unazidi kuongezeka kila kukicha, angali hotuba zake fupi lakini ni zenye mvuto mkubwa?...nini kiko ndani yake? ni nguvu ya nani?

Hakuna neno jipya la kumchafua Lowassa zaidi ya UFISADI tushalizoea tafuteni jingine kosa la kumkata sio mpango wenu ni mpango wa Mungu, kushindana na Lowassa nisawa na kushindana na Mteule wa mungu nijiwe kuu la pembe naye atayeshindana nalo litamwangusha chini nakumsaga TIKI TIKI.
 
Lowasa ana nyota ya kifalme otherwise freemason at work
Ila kubwa zaidi ni ugumu wa maisha tulioletewa na ccm
 
LOWASA tumemkubali kabisaa.na sasa ni kumpa kura tuu.naisubiri 25/10/2015.niikekete ccm.
 
I can imagine, maumivu waliyonayo nyinyiem:sick:
 
Halafu eti wanamtumia slaa kujaribu kuzuia mabadiliko hayo, eti wamemnunulia muda mwngine leo star tv usiku.

Sisi hatuna muda wa kijinga kumsikiliza huyo mfa maji anayesaliti matarajio ya watanzania masikini wanaoteseka katika dimbwi la umasikini. Huyu jamaa anageuka na kuwa mtu hatari sana hata kuliko mfumo wa kifisadi wa ccm. Anatumika kama condomu ili kufanikisha malengo ya wakoloni weusi wanaowatesa akina amam masikini na vijana waganga njaa waliojazana mitaani na vijijini. Watazania wenzangu achaneni na huyu yuda,,, tambueni kuwa ni bora kuongozwa na fisadi mmoja aliye nje ya ccm, kuliko kuendelea kutawaliwa na mafisadi alfu moja walio ndani ya ccm. Nyerere alitabiri watanzania watayatafuta mabadiliko na kuyapata nje ya ccm, na lowassa huyu hapa kutimiza unabii huu,,, sasa linaibuka liyahudi limoja lililoaasi, linataka kuzuia kutimizwa kwa unabii huu, kama vile alivyojaribu kumzuia yesu kwenda yerusalemu, baada ya kushindwa akamsaliti kwa vipande vya fedha,,,, usaliti ni dhambi mbaya, yuda alijinyonga akaanguka akapasuka matumbo, na hata watawala walioamhadaa hawakujitokeza kwenda kumzika,,, hii ni dhambi mbaya,,, mmeteseka kwa pamoja kwa muda wote kuleta mabadiliko, tunakaribia kuingia yerusalemu huyu yuda anakuja na kutaka kutuzuia kwa ulaghai,,,, hapana haiwezekani,,,, tunataka mabadiliko,,, na tutayapata kwa namna yeyote ile.

Lowasa ndiyo sio msafi kihistoria, lakini sasa yupo nje ya mfumo mchafu, amekuja kwetu kushiriki ukombozi,, tunampokea atuongoze kuelekea mabadiliko. Hata mandela alishirikiana na makaburu kuleta mabadiliko afrika kusini, makaburu ambao hawakuwa tu mafisadi bali wauaji na wabaguzi, mandela akawasemehe, akawapokea wakaleta mabadiliko. Kwanini iwe nongwa kwa lowasa, hatutki, hatutamsikiliza yuda slaa,,,, kwanza muda huo tutakuwa itv kuangalia kipindi cha kipima joto. Pole yuda hatukuungi mkono. Tunajua unahasira ulitaka madaraka, ura uroho, wewe ni mropokaji, umejaa wivu na husda, unaterekeza hadi familia,,, hatutakusikiliza.
[/quote]
 
hakuna mtu chini ya jua awezaje kuichafua nyota ya Lowassa. ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kumzuia Lowassa kuingia ikulu ya magogoni. magamba mtahangaika sana lakini mwisho wa siku mtavuna aibu!
 
Lowasa wanamtukana lakini watuhumiwa wa Richmond wanajulikana
 
Lowassa ni radi ing'aayo gizani, kila inapong'aa vibaya vinaokana kama vile slaa na lipumba walidhani wamejificha
 
inanikumbusha wana wa israel walivyo mkataa masiha (alikuja kwao wakamkataa bali wte walio mpokea walifanyika wana wa Mungu na alifanyika kuwa mwokozi wa ulimwengu) Alikuwa kwao wakamkata watanzania wakampokea nu Mungu ameweka ndani yake uvumilivu utulivu na amani watanzania watainuliwa juu kupitia yeye) kila adui anae inuka juu yake anaaibika vibaya sana hivi ccm hamuoni au mmepigwa upofu? lowasa kwanza reachmond baadae
 
mzee magumashi ameangaika sana kumchafuwa imeshindikana lowassa ni rais hakuna njia nyingine !
 
lowasa ni MTEULE alyeteuliwa na Mungu, hamna wa kumzuia..
 
Back
Top Bottom