johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Hawa nyakati kama hizi mnamo mwaka 2015 walikuwa watu mashuhuri sana kwenye siasa za kuelekea uchaguzi hapa nchini.
Lakini kwa sasa wamekuwa kimya mno kama vile wameshastaafu siasa na huyu Sadifa aka pushapu ya mkono mmoja ndio kabisa hajulikani yuko wapi maana hata jimbo lake pale Unguja ni kama mtaa tu lakini haonekani.
Nini kimewatuliza vijana hawa machachari akina aka tumbili na wenzie?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Lakini kwa sasa wamekuwa kimya mno kama vile wameshastaafu siasa na huyu Sadifa aka pushapu ya mkono mmoja ndio kabisa hajulikani yuko wapi maana hata jimbo lake pale Unguja ni kama mtaa tu lakini haonekani.
Nini kimewatuliza vijana hawa machachari akina aka tumbili na wenzie?
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!