Ulilewa kabla ya kulala?
tukio hili ni la kuhuzisha sana , maelezo ya wenye hotel hayaingii akilini kabisa it is some sort of a well organised and coordinated crime
Nipo jijini dar es salaam kwa likizo yangu ya mwaka, Jana nililala katika hotel moja kubwa maeneo ya mbezi Baharini , katika Hali ya huzuni Leo alfajiri nimegundua Wamenimalima ka bastola kangu, naendelea na uchunguzi
Nipo jijini dar es salaam kwa likizo yangu ya mwaka, Jana nililala katika hotel moja kubwa maeneo ya mbezi Baharini , katika Hali ya huzuni Leo alfajiri nimegundua Wamenimalima ka bastola kangu, naendelea na uchunguzi
Rudi kona bar ulipomchukua,utamwona mwombe akurudishie.
Ulilewa kabla ya kulala?
usharipoti polisi?