4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,515
- 13,353
Sasa, najiuliza - kwa kosa gani?
Kuna kutokubaliana, na mwenzako akaamua kukaa kando. Dawa ni kumdhibiti kabisa?
Itazaa matunda? Matunda gani hasa?
Wanajua kuwa kuna kundi kubwa zaidi?
Jasusi la Mbinguni ndo kiboko ya maccm wenzake ile ni taasisi inayotembeaSasa, najiuliza - kwa kosa gani?
Kuna kutokubaliana, na mwenzako akaamua kukaa kando. Dawa ni kumdhibiti kabisa?
Itazaa matunda? Matunda gani hasa?
Wanajua kuwa kuna kundi kubwa zaidi?
Samia hawezi kumsikiliza nchimbi, samia anakiburi cha asiliWanasema aliweza kumfuata Mwenzie na wakaongea iweje aje kumsema sema kwenye hazara na press za bei ya jioni ?
Hivi mnawajua watu hao...mtakuja kujua mkishaingizwa king.Wait and see... aisee.TUNACHEZEWA MAZINGAOMBWE KWA TAARIFA YENU.Wanataka waone anawasiliana na nani. Yaani kupitia simu zake na laptop, watagundua watu wake wa karibu Serikalini. Mwanzo na Mwisho wa CCM. Huwezi mvua mtu Uanachama bila kumpa nafasi ya kumsikiliza. Samia katumia Uamuzi wa Hasira na Umbumbumbu.
Hii thread imenikumbusha Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo Walivyofukuzwa CHADEMA.
Godbless Lema alimnyang'anya laptop aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Arusha bwana Samson Mwigamba. Walipoipekua wakakukuta Walaka wa kumpindua Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Godbless Lema akapeleka ile laptop na Walaka kwenye Kikao cha Kamati Kuu.
Ule walaka uliposomwa ndo ikawa mwisho wa Zitto Kabwe Mkumbo na wenzie walikuwa wanatumia majina ya kificho MM.
Wakaenda kuanzisha ACT WAZALENDO
Nadhani hii tume ya jinai iliyoundwa itamvisha hilo zigo kwamba yeye ndiye aliandaa zile vurugu ambazo zilitafsriwa kama jaribio la mapinduzi.Kosa lake ni kupindua Serikali.
Kichwa chakoWewe ndio mpumbavu..ccm haipo!
Ndio maana unaambiwa ukitaka kumwangamiza mtu mnya'anye mawasiliano kwanzaSasa, najiuliza - kwa kosa gani?
Kuna kutokubaliana, na mwenzako akaamua kukaa kando. Dawa ni kumdhibiti kabisa?
Itazaa matunda? Matunda gani hasa?
Wanajua kuwa kuna kundi kubwa zaidi?
Wanajaribu kutengeneza kesi; kesi kubwa zaidi kuliko kesi feki ya Lissu. Wanataka kujua alikuwa anawasiliana na nani, wanawasiliana nini, na katika mawasiliano hayo kulikuwa na jambo lolote ambalo liliweka maisha ya Rais hatarini. Wanajua kilichotokea kwa JPM kwani baada ya kosakosa ya lile lililotokea Kusini, JPM hakumuona chawa aliyekuwa nguoni. Hili kosa hawa wahakutaka kulifanya.Sasa, najiuliza - kwa kosa gani?
Kuna kutokubaliana, na mwenzako akaamua kukaa kando. Dawa ni kumdhibiti kabisa?
Itazaa matunda? Matunda gani hasa?
Wanajua kuwa kuna kundi kubwa zaidi?
Wanajaribu kutengeneza kesi; kesi kubwa zaidi kuliko kesi feki ya Lissu. Wanataka kujua alikuwa anawasiliana na nani, wanawasiliana nini, na katika mawasiliano hayo kulikuwa na jambo lolote ambalo liliweka maisha ya Rais hatarini. Wanajua kilichotokea kwa JPM kwani baada ya kosakosa ya lile lililotokea Kusini, JPM hakumuona chawa aliyekuwa nguoni. Hili kosa hawa wahakutaka kulifanya.
Kuna uwezekano mkubwa kabisa akafukuzwa duniani.Kwa namna maamuzi yalivyo enda haraka haraka kuanzia kulazimishwa kujiuzulu mpaka kufukuzwa uanachama, lilikuwa ni suala la muda tu kwa yeye kuwekwa kizuizini!
Sahihi kabisa!Kuna uwezekano mkubwa kabisa akafukuzwa duniani.
CCM imejibrand namna hiyo.
Kwanini wamtoe wakati ana serve interests zaoKama ni hivyo basi hata Rais mwenyewe yupo mashakani.
Watamtoa wakishamaliza kupanga safu yao
Ngoja wapekue simu zake, akikutwa Wassira humo ndo wataelewa.Watadaka wangapi?
Ni vyema wamalizane tu..Interesting kwa Taifa letu, wana mtandao wanapambana wenyewe kwa wenyewe..mtandao sasa rasmi, kwishnei
Kuongoza kwa kumulikiwa tochi ni changamoto hasa kwenye utawala uliozungukwa na makundi. Hawakawii kuona unawachelewesha safari yao!Kwanini wamtoe wakati ana serve interests zao
Masikini Imma wa watu 😀