Section 161 of LMA inaongelea kuhusu presumption of marriage..."dhan kama mmefunga ndoa". Ikifanikiwa kuthibitishwa kama basi inachukuliwa kama mlifunga ndoa na taratibu zote za kuachana zinafuatwa kama ilivyo kwa wanandoa. Sheria inaangalia uwepo wa viashiria vifuatavyoSi kweli hao ni mtu na mzazi mwenzie sio wanandoa.Taratibu ziko tofauti
Ndoa sio assumption is a real thing ipeleke mahakamani ndoa ya assumption uone muziki wake.Ficha ujinga kaka....utachekwa na wanaojua...kwanza hatuna sheria ya ndoa ya mwaka 1972....Tz tuna sheria ya ndoa ya mwaka 1971....iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002....kifungu cha 160(1)....kipo wazi kimezungumzia presumption of marriage....to quote a few words Kwa faida yako kinanasema......where it is proved that a man and woman hv lived together for two years or more,in such circumstances to hv acquired a reputation of being husband and wife,there shall be rebuttable presumption that they were duly married...huwezi amini nimepaki range pembeni nakujibu ww...
Kumbe Ni yeye[emoji1]Nachukia sana mtu muongo haswa anaehitaji msaada kwa kusema ni mtu mwingine ndiye anahitaji....utasikia rafik yangu anaumwa gonjwa anahitaj msaada,rafiki/ndgu yangu ameeachika anaomba ushaur wa kisheria
Pole yao,Shetani kashawaingilia kuwavuruga.JF Habarini za asubuhi!!!
Rafiki yangu ni mfanya kazi na mkewe ni mfanyakazi pia wameishi miaka saba pasipo kufunga ndoa ya aina yoyote na sasa wanamgogoro wanataka kuachana wananyumba,wanamagari,viwanja na vingine vingi.
Je? Sheria ikoje kama wakiachana kwa sababu mwanamke anasema atafuata sheria na yeye ndo anatoa msukumo wa kutaka kuondoka. Wanasheria mnasemaje kuhusu Mali walizochuma je watagawana au Vipi? Kwenu wataalam
Tanzania LMA ni ya mwaka 1971 na specific section ni section 161.Hakuna kitu kama hicho.Sheria ya ndoa ilipopitishwa mwaka 1972 ilisema hivi kwa wale walioishi miaka miwili na zaidi kabla ya sheria hiyo ya ndoa kupitishwa watambuliwe kama wana ndoa.Baada ya sheria ya ndoa kupitishwa 1972 ina maana kuanzia hapo mtu anatakiwa afunge ndoa kutambuliwa kama ni mke au mume .Hao sio mke na mume hata kama wameishi miaka 20
Ukisha ishi na mwanamke/mwanaume kinyumba zaidi ya miaka 2 hiyo ni ndoa tayari Presumption of marriage....161 of LMA...kama sikosei
kwa mwanaume house girl waweza ishi naye ndani miaka miwili au zaidi majirani waka assume ni mke kimbembe mahakamani hao majirani kuthibitisha kuwa huyo house girl ni mke na kama kila siku walikuwa wakiwachumgulia ndani mfululizo kwa miaka miwili yaani siku 720 kila siku wao ni kuwachungulia huko ndani non stopSection 161 of LMA inaongelea kuhusu presumption of marriage..."dhan kama mmefunga ndoa". Ikifanikiwa kuthibitishwa kama basi inachukuliwa kama mlifunga ndoa na taratibu zote za kuachana zinafuatwa kama ilivyo kwa wanandoa. Sheria inaangalia uwepo wa viashiria vifuatavyo
1) Mmeishi pamoja kwa miaka miwili au zaid
2) Majirani wanawatbua kama ni mume na mke
3)hamkua na formal marriage/ harusi/ shangwe za harusi
Ikithibitika hio my friend, taratibu zote za talaka zitafuatwa kama kwa watu waliofunga ndoa.
Kaka/unapotosha mno.Ndoa sio assumption is a real thing ipeleke mahakamani ndoa ya assumption uone muziki wake.
Sijasema assumption..nimesema presumption of marriage.. is all about proof kaka...alafu usipende kukariri tumieni vifungu vilivyowekwa kisheria kupata haki zenu.....Ndoa sio assumption is a real thing ipeleke mahakamani ndoa ya assumption uone muziki wake.
Waachane kwani walioanaJF Habarini za asubuhi!!!
Rafiki yangu ni mfanya kazi na mkewe ni mfanyakazi pia wameishi miaka saba pasipo kufunga ndoa ya aina yoyote na sasa wanamgogoro wanataka kuachana wananyumba,wanamagari,viwanja na vingine vingi.
Je? Sheria ikoje kama wakiachana kwa sababu mwanamke anasema atafuata sheria na yeye ndo anatoa msukumo wa kutaka kuondoka. Wanasheria mnasemaje kuhusu Mali walizochuma je watagawana au Vipi? Kwenu wataalam
Duuh, alikuwa amelala?Title zote ni za mtoto wao na mwanaume yeye mwanamke hana umiliki wa kitu chochote kati ya vilivyonunuliwa
Ficha ujinga kaka....utachekwa na wanaojua...kwanza hatuna sheria ya ndoa ya mwaka 1972....Tz tuna sheria ya ndoa ya mwaka 1971....iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002....kifungu cha 160(1)....kipo wazi kimezungumzia presumption of marriage....to quote a few words Kwa faida yako kinanasema......where it is proved that a man and woman hv lived together for two years or more,in such circumstances to hv acquired a reputation of being husband and wife,there shall be rebuttable presumption that they were duly married...huwezi amini nimepaki range pembeni nakujibu ww...
Mkikaa pamoja kwa miaka miwili na majirani wakawa wanawatambua nyie ni mke na mume basi ni ndoa tayari.Hakuna kitu kama hicho.Sheria ya ndoa ilipopitishwa mwaka 1971 ilisema hivi kwa wale walioishi miaka miwili na zaidi kabla ya sheria hiyo ya ndoa kupitishwa watambuliwe kama wana ndoa.Baada ya sheria ya ndoa kupitishwa 1971 ina maana kuanzia hapo mtu anatakiwa afunge ndoa kutambuliwa kama ni mke au mume .Hao sio mke na mume hata kama wameishi miaka 20
pointWaachane kwani walioana
Ya TanzaniaSheria ya nchi gani hiyo!
Hehehe mbona rangeFicha ujinga kaka....utachekwa na wanaojua...kwanza hatuna sheria ya ndoa ya mwaka 1972....Tz tuna sheria ya ndoa ya mwaka 1971....iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002....kifungu cha 160(1)....kipo wazi kimezungumzia presumption of marriage....to quote a few words Kwa faida yako kinanasema......where it is proved that a man and woman hv lived together for two years or more,in such circumstances to hv acquired a reputation of being husband and wife,there shall be rebuttable presumption that they were duly married...huwezi amini nimepaki range pembeni nakujibu ww...
Jirani anapogeuka msajili wa ndoa mfungisha ndoa watu.Kazi mojawapo ya jirani ni kufungisha ndoa watu aisee.Masaki watu wanaishi maisha self contained.Huyo jirani wa kutokea kusema hawa ni mume na mke najaribu kuwazaMkikaa pamoja kwa miaka miwili na majirani wakawa wanawatambua nyie ni mke na mume basi ni ndoa tayari.
Usipotoshe kiongozi kesi kama hizi zinathibitishwa in a balance of probabilities...51/49....kwa kesi yetu hapo juu watu wameishi pamoja na wamezaa...uwepo wa watoto tu tunaita issues ni uthibitisho tosha kwamba walikuwa wana cohabit....kwa mwanaume house girl waweza ishi naye ndani miaka miwili au zaidi majirani waka assume ni mke kimbembe mahakamani hao majirani kuthibitisha kuwa huyo house girl ni mke na kama kila siku walikuwa wakiwachumgulia ndani mfululizo kwa miaka miwili yaani siku 720 kila siku wao ni kuwachungulia huko ndani non stop