Wamatumbi njoo hapa mtuambie kuhusu ndoa

Morning_star

JF-Expert Member
Apr 21, 2018
4,432
12,274
Inakuaje mnafunga ndoa na binti leo alafu siruhusiwi kuondoka na mke wangu mpaka baada ya siku mbili? Nina jamaa yangu leo kafunga ndoa kaja bila mke kisa heti ukoo wake unatakiwa ukae siku mbili ndo uje umchukue mke?
 
kila jamii ina mila,desturi na tamaduni hata kwenu kuna mnachofanya ila wamatumbi hawafanyi pia jifunze kupokea kitu kipya ambacho ulikuwa hukijui hap mwanzo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom