Wamasai wafupi wanaongezeka

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
783
Reaction score
3,665
Yani ile dhana ya wamasai walefu inaenda kupotea, nadhani wanafanya interbreeding, au huku pwani hawanywi maziwa.

Yani unakutana na mmasai kafupi mwenye hadhi ya kuitwa mbilikimo kabisa, ukiachana na shuka zao, huwezi watofautisha
 
Lakini wamasai sizani kama wameanza kujichanganya na makabila?!

Sana sana huku Handeni nawaona wakioa wazungu ambao ni warefu pia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…