Maleven JF-Expert Member Joined Sep 8, 2019 Posts 783 Reaction score 3,665 Oct 26, 2023 #1 Yani ile dhana ya wamasai walefu inaenda kupotea, nadhani wanafanya interbreeding, au huku pwani hawanywi maziwa. Yani unakutana na mmasai kafupi mwenye hadhi ya kuitwa mbilikimo kabisa, ukiachana na shuka zao, huwezi watofautisha
Yani ile dhana ya wamasai walefu inaenda kupotea, nadhani wanafanya interbreeding, au huku pwani hawanywi maziwa. Yani unakutana na mmasai kafupi mwenye hadhi ya kuitwa mbilikimo kabisa, ukiachana na shuka zao, huwezi watofautisha
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,428 Reaction score 11,837 Oct 26, 2023 #2 Vipi Upande wa wasukuma? Hivi wanavyojichanganya kuoa makabila mengine!
Ikulu T JF-Expert Member Joined Aug 21, 2023 Posts 1,599 Reaction score 4,737 Oct 26, 2023 #3 Pumba NapitaKamaRadi
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,428 Reaction score 11,837 Oct 26, 2023 #4 Lakini wamasai sizani kama wameanza kujichanganya na makabila?! Sana sana huku Handeni nawaona wakioa wazungu ambao ni warefu pia.
Lakini wamasai sizani kama wameanza kujichanganya na makabila?! Sana sana huku Handeni nawaona wakioa wazungu ambao ni warefu pia.
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,015 Reaction score 104,614 Oct 26, 2023 #5 Wengine sio wamasaii wanavaa shuka ili wapige kazi mjini.