Wamasai, wamasai,
Mna kila haki ya kuishi kwenye ardhi yenu mnayomiliki kisheria na ardhi ya mababu zenu,
Miaka yote mmekua hapo na mnakila sababu ya kua hapo mlipo.
Serikali iache janja janja wala wasitishe watu kama kuna wawekezaji warudishiwe pesa yao kuliko.
Muwadanganye maana amani ikitoweka msidhani itakua salama.
Mna kila haki ya kuishi kwenye ardhi yenu mnayomiliki kisheria na ardhi ya mababu zenu,
Miaka yote mmekua hapo na mnakila sababu ya kua hapo mlipo.
Serikali iache janja janja wala wasitishe watu kama kuna wawekezaji warudishiwe pesa yao kuliko.
Muwadanganye maana amani ikitoweka msidhani itakua salama.