Wamasai tunadharaulika pasipo sababu

Wamasai tunadharaulika pasipo sababu

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,756
Pamoja na kuiingizia nchi matrilioni kupitia utalii. Lakini pindi tu mtu anajua wewe ni mmasai anaanza dharau za ghafla. Kama vile umejinyea. Shida ni nini wandugu? Au kwa sababu tunavaa lubega? Sisi wote ni watanzania.

UPDATE 30.01.2019
Wamasai wengi ni watu wenye uelewa mkubwa kushinda makabila mengi hapa nchini, hususani wavaa KOBAZI na washindia ubwabwa, kutwa kuongeza wake huku nguvu zenyewe hamna. ACHENI DHEREU.
 
Pamoja na kuiingizia nchi matrilioni kupitia utalii. Lakini pindi tu mtu anajua wewe ni mmasai anaanza dharau za ghafla. Kama vile umejinyea. Shida ni nini wandugu? Au kwa sababu tunavaa lubega? Sisi wote ni watanzania.
Nyinyi ni vivutio vya utarii,mjini mnafata nini,kwenu polini
 
Huu ni utani wa kitanzania tuu kama wanavyosema Mchagga mwizi, ni kwasababu walikuwa watu wa kwanza kuwa na pesa nyingi lakini siku hizi ile misemo ya mchagga anapenda hela inakwisha kwani tumeshaona pesa ni muhimu kwa kila mtu
 
Mnapenga makamasi hivyo hata kwenye daladala, mnapaka mafuta ya ng'ombe harufu kali na hamjali, huwa hamuogi mara nyingi na kqenu sio issue, mnaishi vinyumba vya nyasi huku mnamiliki maelfu ya mifugo!
Mnawala mabinti zenu na chumvi hata kabla hawajaota matiti mmeoa(ubakaji), ni wabishi kitu msichokijua mnabisha hadi kupigana na virungu
N.K
 
mimi nawaelewa sana hawa jamaa. Nahisi na wenyewe wananielewa pia.
 
Jiungeni na Kenya!..sehemu zote za nyanda za juu ya nchi hiyo ambayo ni ardhi ya wamaasai,zilipaswa kua Kenya.huku tunawaheshimu wamaasai sana!....mji wetu mkuu ni makazi ya wamaasai!......Kenya yawapenda wamasai wote duniani!

😀.........KENYA HAKUNA MATATA!
 
nasikia wamasai hamvai pichu..je ni kweli au maneno ya mtaani tu.
 
darren gold Duh hizi chuki ni zaidi ya kuwadharau... mi wanachoniboa ni kujifanya wataalam wa miti shamba yaani kila ukikutana nao na mizizi yao utasikia 'rafik nauza dawa ya kuongeza uume' wanadhani kila mwanaume anataka kuongeza ukubwa wa dushe
 
Pamoja na kuiingizia nchi matrilioni kupitia utalii. Lakini pindi tu mtu anajua wewe ni mmasai anaanza dharau za ghafla. Kama vile umejinyea. Shida ni nini wandugu? Au kwa sababu tunavaa lubega? Sisi wote ni watanzania.
haha pole sana mkuu
 
Na kati ya hao wanaotudharau wako washamba sana kuliko sisi ila wakishavaa suruali nao wanajiweka matawi ya juu.Acheni hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom