SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,756
Pamoja na kuiingizia nchi matrilioni kupitia utalii. Lakini pindi tu mtu anajua wewe ni mmasai anaanza dharau za ghafla. Kama vile umejinyea. Shida ni nini wandugu? Au kwa sababu tunavaa lubega? Sisi wote ni watanzania.
UPDATE 30.01.2019
Wamasai wengi ni watu wenye uelewa mkubwa kushinda makabila mengi hapa nchini, hususani wavaa KOBAZI na washindia ubwabwa, kutwa kuongeza wake huku nguvu zenyewe hamna. ACHENI DHEREU.
UPDATE 30.01.2019
Wamasai wengi ni watu wenye uelewa mkubwa kushinda makabila mengi hapa nchini, hususani wavaa KOBAZI na washindia ubwabwa, kutwa kuongeza wake huku nguvu zenyewe hamna. ACHENI DHEREU.