Hata sijui anyejuta pale. Kwasababu Suni hawakutaka aondolewe, Shiha/Shiite, wale ndo walishirikiana na wamarekani kumuondoa. So Sunni hawawezi kujuta kwasababa hawakutaka wamarekani wamuondoe Saddam, where as hao Shiite ambao ni wengi na wana asili ya Iran, wao walitaka mabadiliko kwasbabu all the state apparatus where under Sunnis. Jeshi, polisi etc. Chini ya Ba’ath party. Hao hawawezi kujuta, even tho wanamchukulia mmarekani kama “baniani mbaya”, ndo maana wale Mahdi army chini ya Muqtada Al Sadar, walikuwa bado hawashirikiani moja kwa moja na wamarekani, pamoja na kwamba adui wao ni mmoja(Sunnis)
Minorities waliosalia, mfano Kurds, wao nao hawawezi kujuta, kwasababu wamepata autonomy na “Kurdistan”, so wana kataifa kao mle ndani ya Iraqi, upande wa kusini kama sikosei.