Wamarekani waliponikamata waliniibia saa yangu.Sadam Hussein

Wamarekani waliponikamata waliniibia saa yangu.Sadam Hussein

Mtu aliyekuwa ana walinzi warembo wanaotumia bastola zilozotengenezwa Kwa vito vya thamani (almasi na dhahabu) anakufa kama panya. Kweli malipo ni duniani.
 
Jifunze kuwa "specific and to the point "!Unazungukazunguka kama unapika biringanya? Unaulizwa swali dogo, weye unanitungia kitabu?

Mkuu, Nisingezunguka na kuleta maneno mengi ungeleta hoja ingine inayo elea. Sasa hapo nimemaliza. Kila hoja ingine ambayo likely unaweza kuleta imeshajibiwa tayar. Au ntakuwa narudia nilicho sema

Kusini mpaka kaskazin, magharib mpaka mashariki mwa dunia ni mwafrika mweusi peke yake aliye bize kutaka kujipendekeza ama kwa mzungu au kwa mwarabu. Mchina anakuja sasa, nafikiri tutaanza kuhamisha magoli. Uliniboa uliposema eti nawapenda Waarabu!
 
Mtu aliyekuwa ana walinzi warembo wanaotumia bastola zilozotengenezwa Kwa vito vya thamani (almasi na dhahabu) anakufa kama panya. Kweli malipo ni duniani.

Nchi ya jangwani lakini kukawa na full misosi. Mpaka walibya waliokuwa wanaandamana kumtoa walipoulizwa kama kuna shida ya chakula wakasema, hapana, misosi imejaa nchi hii.

Na wakaendelea na harakati zao. Mzungu akaona asipoteze bahati, akaenda kuwasaidia. Kilichofuata mimi nawew tunakiona
 
Mkuu, Nisingezunguka na kuleta maneno mengi ungeleta hoja ingine inayo elea. Sasa hapo nimemaliza. Kila hoja ingine ambayo likely unaweza kuleta imeshajibiwa tayar. Au ntakuwa narudia nilicho sema

Kusini mpaka kaskazin, magharib mpaka mashariki mwa dunia ni mwafrika mweusi peke yake aliye bize kutaka kujipendekeza ama kwa mzungu au kwa mwarabu. Mchina anakuja sasa, nafikiri tutaanza kuhamisha magoli. Uliniboa uliposema eti nawapenda Waarabu!
Umekunywa chai mkuu? Unapepeta maneno kweli!
 
Unajua ukifa kwa kudharilishwa unawatia woga vizazi na vizazi vyako bora kufa kama shujaa mkwawa
Hio dhana mmeitoa wap? 😀

Ujue yesu kadhalilishwa msalabani sasa niwaulize wafuasi wake wana woga au?

Saddam ni muislam, yeye kunyongwa ujue wamempunguzia adhabu kwa Mungu, kama alifanya mauaji, basi na yeye kauliwa, haki imetendeka, akienda kwa Mungu hana dhambi ya kuua tena.

Angelijiua manakeamejidhulumu nagsi, sasa uko mbele anapokwenda ingekuwa imekula kwake
 
Hio dhana mmeitoa wap? 😀

Ujue yesu kadhalilishwa msalabani sasa niwaulize wafuasi wake wana woga au?

Saddam ni muislam, yeye kunyongwa ujue wamempunguzia adhabu kwa Mungu, kama alifanya mauaji, basi na yeye kauliwa, haki imetendeka, akienda kwa Mungu hana dhambi ya kuua tena.

Angelijiua manakeamejidhulumu nagsi, sasa uko mbele anapokwenda ingekuwa imekula kwake
Unapotosha. Post Number 49 amekusaidia
 
Back
Top Bottom