SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Wamama wafanya biashara sokoni ni kundi moja maalumu lenye tabia za kipekee sana. Wanapenda kutembea pamoja kwenye kundi moja; hasa wakienda na kutoka makazini kwao. Kama itawalazimu kupanda daladala kwenda na kurudi sokoni, hupanda wote kwa pamoja, na ni kundi linaloogopewa sana na makondakta. Hawa wamama ni wakali na wenye makelele sana na hupenda lugha za matusi mazito. Ni katika mazungumzo yao yaliyojaa matusi nimenasa lugha yao yenye maana maalumu. Tazama lugha hiyo hapa chini na maana yake:
Kupiga chabo= mke kumkatalia mumewe unyumba kwa kusingizia yuko kwenye siku zake.
Kuangalia oil=Mume kutaka kuhakikisha kama kweli mkewe yuko kwenye siku zake kwa kuiona hedhi yenyewe.
Kupaka mhogo parachichi= kufanya mapenzi kinyume na maumbile
Kula aiskrim= kunyonya uume
Kunawa mtoni= kunyonya uke
Kuvua gamba=kutoa mimba
Kuomba kura= kutongoza
Kufungua bomba la bamia=kutoa mbegu za kiume wakati wa kufanya mapenzi
Kuendesha semina ya uvccm=mtu mzima kufanya mapenzi na msichana wa shule
ATM ya chenji=kondakta.
Kuweka mzigo booking= kuachana na mpenzi wako.
Hawa wamama nakutana nao sana kwenye daldala katika shughuli zangu kati ya KIA (Kilimanjaro International Airport) na Moshi mjini. Katikati ya vituo hivi viwili kuna masoko ya Kwa Sadala na Bomang'ombe
Kupiga chabo= mke kumkatalia mumewe unyumba kwa kusingizia yuko kwenye siku zake.
Kuangalia oil=Mume kutaka kuhakikisha kama kweli mkewe yuko kwenye siku zake kwa kuiona hedhi yenyewe.
Kupaka mhogo parachichi= kufanya mapenzi kinyume na maumbile
Kula aiskrim= kunyonya uume
Kunawa mtoni= kunyonya uke
Kuvua gamba=kutoa mimba
Kuomba kura= kutongoza
Kufungua bomba la bamia=kutoa mbegu za kiume wakati wa kufanya mapenzi
Kuendesha semina ya uvccm=mtu mzima kufanya mapenzi na msichana wa shule
ATM ya chenji=kondakta.
Kuweka mzigo booking= kuachana na mpenzi wako.
Hawa wamama nakutana nao sana kwenye daldala katika shughuli zangu kati ya KIA (Kilimanjaro International Airport) na Moshi mjini. Katikati ya vituo hivi viwili kuna masoko ya Kwa Sadala na Bomang'ombe