Wamagharibi kumbe kweli walikubaliana na Urusi kutoongeza Wanachama wa NATO kuelekea Mashariki, gazeti laibua ushahidi

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,151
33,333

Kumbe Nchi za Magharibi walikubaliana na Urusi kuwa hawata utanua umaja wa kujihami wa nchi hizo,yaani NATO.​

Lakini kumbe kwa Hila zao za kutaka kuizunguka kijeshi Urusi wakaendelea kujiunga nchi nyingine katika umoja huo.

Urusi ilikua mstahamilifu na mvumilivu.waliziunga nchi kama Poland,Estonia na nchi nyingine.

Urusi ikawakumbusha lakini wakaiona kama hamnazo.

Sasa wakataka kujiunga Ukraine,Ukraine ni mpaka mkubwa na Urusi.

Kama Ukraine ikijiunga na NATO maana yake ni kuwa Marekani itakua na uwezo wa kuchungulia ndani kabisa ya Urusi na kujua Nini kinafanyika huko.

Pia kama ikitokea vita Itakua rahisi kwa Marekani kuishambulia Urusi kutoka Ukraine.

Wasiwasi ndio akili huwezi kujua kesho ama keshokutwa nini kitatokea kuhusu uhasama kati ya Marekani na Urusi. Ulinzi wa taifa ni kuwa macho masala ishirini na nne.Urusi wameshitukia mchezo mchafu wa Marekani na ndio maana wemegeuka mbogo.kwenye ulinzi wa mipaka kama zilivyo nchi zote, Urusi hacheki na hatanii Yuko tayari kuingia vitamin na nchi yoyote na inakuja Haina maana kumiliki masilaha mazitomazito kama Kuna mtu atachezea mipaka au usalama wake.

Sasa Kuna gazeti/ jarida moja limefukunyua na kugundua kuwa ni kweli makubaliano baina ya nchi za Marekani, ufaransa na uingereza pamoja na Urusi kuwa NATO isiendelee kujitanua kuelekea Urusi. Hivyo Urusi ilidanganywa kuwa hawatajitanua lakini wamejitanua.

Nimekuwekea bandiko hapo chini ujisomee mwenyewe.

West promised not to expand NATO – Der Spiegel​

NATO deceived Russia about expansion and a British document proves it, top German weekly discovers

West promised not to expand NATO – Der Spiegel

The flags of member countries of North Atlantic Treaty Organization are seen at the Headquarter of NATO in Brussels, Belgium, February 17, 2022 © Dursun Aydemir / Anadolu Agency via Getty Images

A newly discovered document from March 1991 shows US, UK, French, and German officials discussing a pledge made to Moscow that NATO would not expand to Poland and beyond. Its publication by the German magazine Der Spiegel on Friday comes as expansion of the US-led bloc has led to a military standoff in Eastern Europe.

The minutes of a March 6, 1991 meeting in Bonn between political directors of the foreign ministries of the US, UK, France, and Germany contain multiple references to “2+4” talks on German unification in which the Western officials made it “clear” to the Soviet Union that NATO would not push into territory east of Germany.

“We made it clear to the Soviet Union – in the 2+4 talks, as well as in other negotiations – that we do not intend to benefit from the withdrawal of Soviet troops from Eastern Europe,” the document quotes US Assistant Secretary of State for Europe and Canada Raymond Seitz.

“NATO should not expand to the east, either officially or unofficially,” Seitz added.

A British representative also mentions the existence of a “general agreement” that membership of NATO for eastern European countries is “unacceptable.”

“We had made it clear during the 2+4 negotiations that we would not extend NATO beyond the Elbe [sic],”
said West German diplomat Juergen Hrobog. “We could not therefore offer Poland and others membership in NATO.”

RT

Screenshot of the minutes of a March 6, 1991 meeting of US, UK, French and German diplomats discussing NATO and Eastern Europe © screenshot via Kommersant

The minutes later clarified he was referring to the Oder River, the boundary between East Germany and Poland. Hrobog further noted that West German Chancellor Helmut Kohl and Foreign Minister Hans-Dietrich Genscher had agreed with this position as well.

The document was found in the UK National Archives by Joshua Shifrinson, a political science professor at Boston University in the US. It had been marked “Secret” but was declassified at some point.

Shifrinson tweeted on Friday he was “honored” to work with Der Spiegel on the document showing that “Western diplomats believed they had indeed made a NATO non-enlargement pledge.”

“Senior policymakers deny a non-expansion pledge was offered. This new document shows otherwise,”
Shifrinson said in a follow-up tweet,
 
Walikubaliana kwa namna gani?

Je, kuna uwepo wa mkataba wowote au makubaliano ya kisheria ambayo yalifanyika yaliyoweka hakikisho kuwa NATO haitopaswa kuongeza wanachama kuelekea mashariki hasa katika mataifa yaliyokuwa ndani ya USSR?

Kama huo mkataba upo, ni vyema ukawekwa hadharani, likiwemo jina pia la mkataba huo tafadhali! Asante!
 
Walikubaliana kwa namna gani?

Je, kuna uwepo wa mkataba wowote au makubaliano ya kisheria ambayo yalifanyika yaliyoweka hakikisho kuwa NATO haitopaswa kuongeza wanachama kuelekea mashariki hasa katika mataifa yaliyokuwa ndani ya USSR?

Kama huo mkataba upo, ni vyema ukawekwa hadharani, likiwemo jina pia la mkataba huo tafadhali! Asante!
Ndugu yangu inawezekana wewe una akili sana kushinda Raisi wa Urusi na Viongozi wengine wa nchi hiyo.

Na nadhani kwa muktadha huo unaamini kinachofanywa na NATO kujitanua kuelekea East hata kama hakuna makubaliano ya kisheria na hata kama Urusi haipendezwi wewe kwako unaona ni sawa tu. Kuna vitu vingine vinahitaji ustaarabu wa kawaida TU.

Mfano mdogo TU

Unadhani kwa Nini US hakufurahi USSR kupelela majeshi na nyukilia Cuba?

Au Leo hii Urusi apeleke majeshi na silaha Cuba na Venezuela USA atakubali?
 
Ndugu yangu inawezekana wewe una akili sana kushinda Raisi wa Urusi na Viongozi wengine wa nchi hiyo.
Na nadhani kwa muktadha huo unaamini kinachofanywa na NATO kujitanua kuelekea East hata kama hakuna makubaliano ya kisheria na hata kama Urusi haipendezwi wewe kwako unaona ni sawa tu.Kuna vitu vingine vinahitaji ustaarabu wa kawaida TU.

Mfano mdogo TU .
Unadhani kwa Nini US hakufurahi USSR kupelela majeshi na nyukilia Cuba?
Au Leo hii Urusi apeleke majeshi na silaha Cuba na Venezuela USA atakubali?
Urusi imewahi kuwa na mahusiano mazuri na NATO kwa muda mrefu tu tangu miaka ya 90 kabla ya suala la Crimea. NATO na Urusi zimewahi kuwa na makubaliano mbalimbali ya kimkataba na zimewahi kufanya mpaka mazoezi ya kijeshi na operations mbalimbali za kijeshi pamoja.

Mimi nimeomba tu huo mkataba wa makubaliano kuhusu NATO kutoongeza wanachama Ulaya Mashariki [kama kweli upo]. Maana, ninachokifahamu ni kuwa, hakuna mkataba wowote ule wala makubaliano rasmi juu ya suala hilo! Isipokuwa, kuna mikataba mbalimbali (formal agreements) ya ushirikiano baina ya pande mbili hizo.

Hata hivyo, mashirikiano yote yaliyokuwepo hapo awali yalisitishwa mwaka 2014 baada ya mgogoro kuhusu Crimea.
 
Walikubaliana kwa namna gani?

Je, kuna uwepo wa mkataba wowote au makubaliano ya kisheria ambayo yalifanyika yaliyoweka hakikisho kuwa NATO haitopaswa kuongeza wanachama kuelekea mashariki hasa katika mataifa yaliyokuwa ndani ya USSR?

Kama huo mkataba upo, ni vyema ukawekwa hadharani, likiwemo jina pia la mkataba huo tafadhali! Asante!
Mkuu usibishe! Madai ya Russia ni ya kweli kabisa.NATO ilitia saini makubaliano hayo kuwa haitajitanua kuelekea East Europe karibu na mipaka ya Russia.
 
Walikubaliana kwa namna gani?

Je, kuna uwepo wa mkataba wowote au makubaliano ya kisheria ambayo yalifanyika yaliyoweka hakikisho kuwa NATO haitopaswa kuongeza wanachama kuelekea mashariki hasa katika mataifa yaliyokuwa ndani ya USSR?

Kama huo mkataba upo, ni vyema ukawekwa hadharani, likiwemo jina pia la mkataba huo tafadhali! Asante!
hata ukiwepo wamgharibi wakishirikiaba na US wale wapuuzi toka lini wakaheshimu mikataba wapuuzi wale
 
Urusi imewahi kuwa na mahusiano mazuri na NATO kwa muda mrefu tu tangu miaka ya 90 kabla ya suala la Crimea. NATO na Urusi zimewahi kuwa na makubaliano mbalimbali ya kimkataba na zimewahi kufanya mpaka mazoezi ya kijeshi na operations mbalimbali za kijeshi pamoja.

Mimi nimeomba tu huo mkataba wa makubaliano kuhusu NATO kutoongeza wanachama Ulaya Mashariki [kama kweli upo]. Maana, ninachokifahamu ni kuwa, hakuna mkataba wowote ule wala makubaliano rasmi juu ya suala hilo! Isipokuwa, kuna mikataba mbalimbali (formal agreements) ya ushirikiano baina ya pande mbili hizo.

Hata hivyo, mashirikiano yote yaliyokuwepo hapo awali yalisitishwa mwaka 2014 baada ya mgogoro kuhusu Crimea.
Kwa hiyo Putin ni Zuzu
 
Kwa miaka mingi west wameshi Bila ushindani wa kibiashara,nadhani mambo yamebadilika. Je China wakipata cheap energy toka Rusia..West watakaa sokoni?
 
Back
Top Bottom