Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Hii mbona tangu mwaka jana? tatizo la wasedish kwao kila mtu ni equal, mtoto na baba wote wako sawa, mama na baba wote wako sawa,mwanamume na mwanamke wote wako sawa na wanahaki sawa, mwalimu na mwanafunzi wote wako sawa,hili lilichelewa saana nachok´jiuliza Ni Mungu Yupi hawa watu wanamwabudu na kumhubiri?
Nimekuwa pale GOTHENBURG (GOTEBORGS) CITY nilimshangaa rafiki yangu mswedish aliponiambia kwamba kanisa ndilo lililowacheleweshea maendeleo. Makanisa wakiyaita DORMSHIRIKAN yametelekezwa, mengi yanageuzwa GODOWNS> Suala la kuamini kuwa kila mtu ana haki ya kufanya anachotaka ndipo walipopotoka. Ushoga unafanyika hadharani, mashoga wameandika vitabu kuhusu philosophy ya ki-shoga. Mashoga kwenye University huwa wanaalikwa kutoa mhadhara hasa masuala yanayohusu SEXUALITY. Hawa watu wamelewa maendeleo yao na yatawafanya vibaya