myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
watu,ardhi,siasa safi na uongozi bora.....
Njoo ule tango uukune mdomo huo maana unakuwasha sana...
Makamanda wapo tayari kukunyoosha si nasikia mumeo hayupo??
Njoo ule muhogo wa jang'ombe.
Nikalale na dadako .?
Funga bakuli lako ESCROW wewe!
umbea umbea, unafiki unafiki, uzandiki uzandiki, majungu majungu, ndio tabia inayokiongoza chama cha mapinduzi kwa sasa,
ili uwe mwana ccm basi nilazima uwe na hizi tabia,
ha ha ha -unawaona wanakuja sasa, wewe upo kambi ya wapi? ndoroooooooooooobo!
Mwaka Huu Tutaheshimiana Tu, Hakatwi Mtu Hapa, Mi Mpaka Nimeshonesha Chupi Yangu Imeandikwa Lowasa Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, Prof Lipumba Gavana Wa Benk Kuu, Mbatia Waziri Wa Mambo Ya Nje, Makaidi Waziri Wa Nchi Katika Ofisi Ya Rais. Halafu Kwenye Uchaguzi Watuibie Kura, Mbona Patachimbika!