Walokole wa Lowassa, hadi kero!

Walokole wa Lowassa, hadi kero!

Mtoto wa Mama Samia

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
772
Reaction score
392
Ushapu na uchangamfu wa wafuasi wa EL, kwa maana ya 4UM,Friends of Lowasa, Team Lowassa katika mitandao ya kijamii (tangu kuhamia kwao CDM) umewafunika hata makamanda wa long time.

Hii inanikumbusha jamaa fulani waliwahi kuokoka kanisani - katika mda mfupi wa uokovu wao waliweza kucheza na kuimba mapambio kwa mikogo zaidi hata ya wenyeji.

Walikemea na kuomba kwa kulia kwa sauti ya juu hadi wakawa kero. 'Hii sasa sifa?' sauti ilisikika. Ndivo ilivyo kwa akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, and the like hapa jukwaani.

Tangu 'wameokoka' wanashambulia jukwaa kwa fujo hadi kero.

Keep it up guys!
 
Ushapu na uchangamfu wa wafuasi wa EL, kwa maana ya 4UM,Friends of Lowasa, Team Lowassa katika mitandao ya kijamii (tangu kuhamia kwao cdm) umewafunika hata makamanda wa long time. Hii inanikumbusha jamaa fulani waliwahi kuokoka kanisani - katika mda mfupi wa uokovu wao waliweza kucheza na kuimba mapambio kwa mikogo zaidi hata ya wenyeji. Walikemea na kuomba kwa kulia kwa sauti ya juu hadi wakawa kero. 'Hii sasa sifa?' sauti ilisikika. Ndivo ilivyo kwa akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, and the like hapa jukwaani. Tangu 'wameokoka' wanashambulia jukwaa kwa fujo hadi kero. Keep it up guys!
Tuliza boli. CDM hawafanyi mambo kwa kubahatisha. Hizi ni kete zinachezwa kisayasi. Wakati huu tunawahitji wana CCM wengi waje CDM ili tuwatumie kuvurugana wenyewe kwa wenyewe. Kumbuka hata Marekani inarusha kete ISIS na ALQAIDA wanapigana wenyewe kwa wenyewe wakati ajenda yao ni moja! Hicho ndicho tunachokifanya kwa sasa. CCM wanakaribishwa CDM ili tuwatumie kama silaha za vita!!!!!
 
Tuliza boli. CDM hawafanyi mambo kwa kubahatisha. Hizi ni kete zinachezwa kisayasi. Wakati huu tunawahitji wana CCM wengi waje CDM ili tuwatumie kuvurugana wenyewe kwa wenyewe. Kumbuka hata Marekani ilimtumia Osama kuisambartisha Urusi. Hicho ndicho tunachokifanya kwa sasa. CCM wanakaribishwa CDM ili tuwatumie kama silaha za vita!!!!!

That's OK, let them come and dance according to the tune. Wasiwasi wangu ulikuwa jamaa watabugi mziki wa CDM, kumbe walishafanya rehearsal.
 
Such an old barmaid, no. Just need your juicy daughter Lusunji.


Njoo ule tango uukune mdomo huo maana unakuwasha sana...

Makamanda wapo tayari kukunyoosha si nasikia mumeo hayupo??

Njoo ule muhogo wa jang'ombe.
 
Njoo ule tango uukune mdomo huo maana unakuwasha sana...

Makamanda wapo tayari kukunyoosha si nasikia mumeo hayupo??

Njoo ule muhogo wa jang'ombe.

It is a moment now I discover, I argue with a brown experienced ----- swine. No waste my time any more!
 
Ushapu na uchangamfu wa wafuasi wa EL, kwa maana ya 4UM,Friends of Lowasa, Team Lowassa katika mitandao ya kijamii (tangu kuhamia kwao cdm) umewafunika hata makamanda wa long time. Hii inanikumbusha jamaa fulani waliwahi kuokoka kanisani - katika mda mfupi wa uokovu wao waliweza kucheza na kuimba mapambio kwa mikogo zaidi hata ya wenyeji. Walikemea na kuomba kwa kulia kwa sauti ya juu hadi wakawa kero. 'Hii sasa sifa?' sauti ilisikika. Ndivo ilivyo kwa akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, and the like hapa jukwaani. Tangu 'wameokoka' wanashambulia jukwaa kwa fujo hadi kero. Keep it up guys!

kwa taarifa yako hiyo ni project, vijana wananunuliwa laptop au simu halaf wanapangiwa room yaan kazi ni hiyo tu day & night 24/7-ni kutoka kwenda kujisaidia tu.

main camp ipo CBE na vijana wanagonga hela pale
 
It is a moment now I discover, I argue with a brown experienced ----- swine. No waste my time any more!


Haya rudi kaawambie Kima wenzio huko Lumumba huu uwanja huuwezi hata watume mamilioni ya members....
 
Mwaka Huu Tutaheshimiana Tu, Hakatwi Mtu Hapa, Mi Mpaka Nimeshonesha Chupi Yangu Imeandikwa Lowasa Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, Prof Lipumba Gavana Wa Benk Kuu, Mbatia Waziri Wa Mambo Ya Nje, Makaidi Waziri Wa Nchi Katika Ofisi Ya Rais. Halafu Kwenye Uchaguzi Watuibie Kura, Mbona Patachimbika!
 
It is a moment now I discover, I argue with a brown experienced ----- swine. No waste my time any more!

Mkuu huyo mwenye picha ya umbwa anapenda sanaa uboroo.. hapo anatamani umsugue kijambio... muulize hata nyundo kiposeo anamjua kwamba huyo ni mlegevu hata biskuti hawezi kuvunja
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyo mwenye picha ya umbwa anapenda sanaa uboroo.. hapo anatamani umsugue kijambio... muulize hata nyundo kiposeo anamjua kwamba huyo ni mlegevu hata biskuti hawezi kuvunja

Kweli mkuu hata mimi nimemshtukia, ana whorish behavior.
 
Last edited by a moderator:
Mwaka Huu Tutaheshimiana Tu, Hakatwi Mtu Hapa, Mi Mpaka Nimeshonesha Chupi Yangu Imeandikwa Lowasa Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, Prof Lipumba Gavana Wa Benk Kuu, Mbatia Waziri Wa Mambo Ya Nje, Makaidi Waziri Wa Nchi Katika Ofisi Ya Rais. Halafu Kwenye Uchaguzi Watuibie Kura, Mbona Patachimbika!

You are betting the right card!
 
Mwaka Huu Tutaheshimiana Tu, Hakatwi Mtu Hapa, Mi Mpaka Nimeshonesha Chupi Yangu Imeandikwa Lowasa Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, Prof Lipumba Gavana Wa Benk Kuu, Mbatia Waziri Wa Mambo Ya Nje, Makaidi Waziri Wa Nchi Katika Ofisi Ya Rais. Halafu Kwenye Uchaguzi Watuibie Kura, Mbona Patachimbika!

Hayo maandishi yanasomeka kweli mkuu mbona mengi sana kukaa kwenye chupi au ndefu sana unitupie dizaini ili tuwe wengi watu washikwe na matumbo ya kusokota
 
kwa taarifa yako hiyo ni project, vijana wananunuliwa laptop au simu halaf wanapangiwa room yaan kazi ni hiyo tu day & night 24/7-ni kutoka kwenda kujisaidia tu.

main camp ipo CBE na vijana wanagonga hela pale

Funga bakuli lako ESCROW wewe!
 
Mwaka huu kazi iiipo, Magufuliiii alidhani tayari yeye ni rais,
Cha kusikitisha ni kama Makonkodi wa chama wamemsusa Magufuliiii
 
kwa taarifa yako hiyo ni project, vijana wananunuliwa laptop au simu halaf wanapangiwa room yaan kazi ni hiyo tu day & night 24/7-ni kutoka kwenda kujisaidia tu.

main camp ipo CBE na vijana wanagonga hela pale

umbea umbea, unafiki unafiki, uzandiki uzandiki, majungu majungu, ndio tabia inayokiongoza chama cha mapinduzi kwa sasa,

ili uwe mwana ccm basi nilazima uwe na hizi tabia,
 
Ushapu na uchangamfu wa wafuasi wa EL, kwa maana ya 4UM,Friends of Lowasa, Team Lowassa katika mitandao ya kijamii (tangu kuhamia kwao CDM) umewafunika hata makamanda wa long time.

Hii inanikumbusha jamaa fulani waliwahi kuokoka kanisani - katika mda mfupi wa uokovu wao waliweza kucheza na kuimba mapambio kwa mikogo zaidi hata ya wenyeji.

Walikemea na kuomba kwa kulia kwa sauti ya juu hadi wakawa kero. 'Hii sasa sifa?' sauti ilisikika. Ndivo ilivyo kwa akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, and the like hapa jukwaani.

Tangu 'wameokoka' wanashambulia jukwaa kwa fujo hadi kero.

Keep it up guys!

Mkuu wanachotaka hapo ni ajira ya mda mfupi hadi oktoba,25. Pesa ipo watakula ila lengo la Lowassa halitatimia mi ndo ninapomwonea huruma huyu babu.
 
Umejitahidi ila badilisha nembo kidogo.Mbatia ni lazima ashike ELIMU.
Mwaka Huu Tutaheshimiana Tu, Hakatwi Mtu Hapa, Mi Mpaka Nimeshonesha Chupi Yangu Imeandikwa Lowasa Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, Prof Lipumba Gavana Wa Benk Kuu, Mbatia Waziri Wa Mambo Ya Nje, Makaidi Waziri Wa Nchi Katika Ofisi Ya Rais. Halafu Kwenye Uchaguzi Watuibie Kura, Mbona Patachimbika!
 
Back
Top Bottom