Hii maneno imetamkwa na waziri wa ardhi,amesema haijalishi la mkubwa au mdogo,mi namuunga mkono100% na kwa kuanza achukue lile shamba la alokuwa rais 1995-2005 huko mapinga na pia la yona bila kusahau ardhi yooote aliyojimilikisha mtangulizi wa jpm
View attachment 451958