Hii maneno imetamkwa na waziri wa ardhi,amesema haijalishi la mkubwa au mdogo,mi namuunga mkono100% na kwa kuanza achukue lile shamba la alokuwa rais 1995-2005 huko mapinga na pia la yona bila kusahau ardhi yooote aliyojimilikisha mtangulizi wa jpm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo kama kweli ana nia thabiti akachukue kwanza shamba la mkapa lipo bagamoyo linazalisha majoka tu na sio kutafuta kick ya kufungia mwakaHii maneno imetamkwa na waziri wa ardhi,amesema haijalishi la mkubwa au mdogo,mi namuunga mkono100% na kwa kuanza achukue lile shamba la alokuwa rais 1995-2005 huko mapinga na pia la yona bila kusahau ardhi yooote aliyojimilikisha mtangulizi wa jpmView attachment 451958