trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,454
- 10,821
Acha arogwe tuu ili apunguze uzinzi mkuu. Halafu mimi sio mkewe. Huyu kila week ana nyuzi mpya ya demu mpya kwanini asirogwe na kuwa chizi.
Acha arogwe tuu ili apunguze uzinzi mkuu. Halafu mimi sio mkewe. Huyu kila week ana nyuzi mpya ya demu mpya kwanini asirogwe na kuwa chizi.
Sasa mbona tayari kuna watu walishapita naye na hajawa nao? Aache upuuzi.Hahahha.. Kasheshe.. Kwanini hutaki kuwa nae milele? Na kama ulikuwa huna mpango wa kuwa nae milele ulimtongoza wa nn? Wapo wengi ambao hawachabangwi na kudampiwa. Ni bora afe kuliko umuache. Kila mtu ana moyo wake.
We ndo ulikuja mdai mumeo mtoto huku JF? Ndo wale wale....Acha arogwe tuu ili apunguze uzinzi mkuu. Halafu mimi sio mkewe. Huyu kila week ana nyuzi mpya ya demu mpya kwanini asirogwe na kuwa chizi.
Usilete mchezo utakua zezeta.Hii kauli imenishangaza. Huyu demu ananitishia maisha hivi hivi? Sijalala usiku wote namwazia .... Hivi anajielewa huyu?
Nlimuuliza amewah date wanaume wangapi akadai wa 4 jumla na mimi. Sasa hao wengine mbona hakuwaroga na walimwacha? Au kama aliwaroga ilimsaidia nini?
Nimewaza sijui nimuwahi yeye kwanza? Nimroge ili sasa ashindwe niroga maana yupo serious sana. Huwa anasimulia habari za kwao huko na uchawi. Sasa anataka ku practise kwangu. Yaani analazimisha mimi nikae naye milele?
Huu ni upuuzi. Na huyu nikiendelea kukaa naye pia ataniroga. Ndo maana nlikuwa nasita kula kwake toka day one. Ananilazimisha nile chakula chake namkatalia. Na kuchabangana natumia condom so kama anaweka dawa kule ndani hainipati. Ananishauri kila mara tukapime nimchabange dry namgomea. Itakuwa mtego tu huu.
Aaaargh.... Yeye sasa atafanywa ndondocha kabisa ndo aone akijua ya huku wenzie tunajua ya kule.Usilete mchezo utakua zezeta.
Kwa hiyo wa kishua ndio hawalogi?Ina maana wa kishua atatoka wapi na ushuzi wa kuroga na kufanya wanaume mandondocha?
Aah wee mwenyewe ni chizi unadhani utamfanya nin.Aaaargh.... Yeye sasa atafanywa ndondocha kabisa ndo aone akijua ya huku wenzie tunajua ya kule.
Nimeanza. Siachi kitu kwake. Hata sperms kwenye condom naondoka nazo. Yaani kifupi hapati kitu. Nimeacha hata kumla denda.... Asije akabaki na mate yangu.... Yaani mpaka mwenyewe ataomba poooh. Akitaka kupigwa na mjegejo namwambia tu inama.... Analalamika ooooh.... Hamna hata kuniandaa namwambia maandalizi yapo akilini. Kama anajiona mkavu tuache mpaka next time...... Yaani akiweka Ugoko mi naweka jiwe.....😂😂😂😂😂
Kuwa makini mkuu.
Nimeanza. Siachi kitu kwake. Hata sperms kwenye condom naondoka nazo. Yaani kifupi hapati kitu. Nimeacha hata kumla denda.... Asije akabaki na mate yangu.... Yaani mpaka mwenyewe ataomba poooh. Akitaka kupigwa na mjegejo namwambia tu inama.... Analalamika ooooh.... Hamna hata kuniandaa namwambia maandalizi yapo akilini. Kama anajiona mkavu tuache mpaka next time...... Yaani akiweka Ugoko mi naweka jiwe.....Aah wee mwenyewe ni chizi unadhani utamfanya nin.
Kwanza muandiko wako wenyewe unaonyesha doseee ishaanza kukuingia
Nimeanza. Siachi kitu kwake. Hata sperms kwenye condom naondoka nazo. Yaani kifupi hapati kitu. Nimeacha hata kumla denda.... Asije akabaki na mate yangu.... Yaani mpaka mwenyewe ataomba poooh. Akitaka kupigwa na mjegejo namwambia tu inama.... Analalamika ooooh.... Hamna hata kuniandaa namwambia maandalizi yapo akilini. Kama anajiona mkavu tuache mpaka next time...... Yaani akiweka Ugoko mi naweka jiwe.....Pole sana ndio ushajichanganya tayr,Kwa ushauri ama mkoa ,potea asijue uko wap ,Tena Kwa Siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana, kumbe upoo. Miss yah trudie zigo😂😀. I mean no malice to nobodyAcha arogwe tuu ili apunguze uzinzi mkuu. Halafu mimi sio mkewe. Huyu kila week ana nyuzi mpya ya demu mpya kwanini asirogwe na kuwa chizi.
Si muachane mzee, au tayari ndani ya kumi na nane zake umekaa?Nimeanza. Siachi kitu kwake. Hata sperms kwenye condom naondoka nazo. Yaani kifupi hapati kitu. Nimeacha hata kumla denda.... Asije akabaki na mate yangu.... Yaani mpaka mwenyewe ataomba poooh. Akitaka kupigwa na mjegejo namwambia tu inama.... Analalamika ooooh.... Hamna hata kuniandaa namwambia maandalizi yapo akilini. Kama anajiona mkavu tuache mpaka next time...... Yaani akiweka Ugoko mi naweka jiwe.....
Nipo mkuu, nipo nalea nimekuletea uncle mwingine ....miss u, mwenzio mkesha kama wote ila hata usiku wa manane huwa siingii kabisa
Dishi lako limeyumba nini?? Umenifananisha au?We ndo ulikuja mdai mumeo mtoto huku JF? Ndo wale wale....
Mmeanzaa Vita Tena😂😂. I mean no malice to nobodyDishi lako limeyumba nini?? Umenifananisha au?