Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Wanawake huambizana kabisa kuroga wanaume wao wa ndoa Na wale wa michepuko,
Wanawaambiana kama Mwanaume anakupa hela mroge mshike asije akakuacha
Wengine wanaambiwa hivyo na wazazi wao mama zao , imagine

Mtu ataacha kufanya alichoambiwa na mama mzazi ?
Wanawaambiana kama Mwanaume anakupa hela mroge mshike asije akakuacha

Wengine wanaambiwa hivyo na wazazi wao mama zao , imagine


Mtu ataacha kufanya alichoambiwa na mama mzazi ?
