Wallah nitakuroga, Chezea hao hao siyo mimi

Wallah nitakuroga, Chezea hao hao siyo mimi

Achana naye mwehu huyo,akuroge kwani analijua jina la mama ako???kama ulimtajia basi UMEKWISHA.



Hata bila jina la mama inawezekana, wanatumia Hawa mama wa wote!

Sema akilijua inakamata haraka vifungo
 
Wengine wanapewa dawa na mama zao kamuwekee mume wako au hawara yako atazidi kukupenda na kukupa kila utakachomwambia mfano pesa, kiwanja, nyumba , gari , simu , kodi n.k

Akishamuwekea Mwanaume wa watu ataanza kuumwa na kuugua vema akikumbuka kukaguliwa sehemu sahihi lakini wengine unakuta Ndiyo ntokee na kupoteza maisha
 
Mama wengine wanawaambia watoto wao wa kike waloolewa mapemaaa “ mroge mume wako” usipmroga wewe michepuko watakusaidia kumroga.

Unaweza kuona jinsi wanaume wanavyorogwa ndani na nje ya ndoa!
 
Kuwa mbali na mwanamke anayehusudu mapenzi ya dawa...ipo siku atakupa limbwata hilooo,utakuwa kama msukule
 
Kama ni Ishu ya kweli acha mazoea na Huyo Demu (Mswahili) atakuroga kweli na uoga wako.

La sivyo Kama kawaida yenu ya kutaka attention humu kwa story zenu za uongo kama Bongo Movies, Mitandaoni wanasema Wana hela baada ya mwaka wakiumwa hela hakuna wachangiwe.

Mshikaji wetu alirogwa akawa fara kwa Demu fulani hv mswahili sana afu kicheche Mbwa.
Mchimbe, kata mazoea nae (Mwajuma) kabisa.
Kuna sehemu kasema huyo demu mswahili?
 
Mimi naona kwa kuwa umemdanganya na kumchezea mtoto wa watu na unataka kumuacha ili uende kwa mwingine uliemdanganya

Basi mimi naona kubali kurogwa tu maana ndio hukumu yako
Muulize kama anataka nywele au nguo au chochote cha kumalizia kazi ili uwe zezeta au muokota makopo

Yaani ukubali tu adhabu maana mnawaonea sana
Nina watoto wangu pia na wewe utapata wa kwako siku moja then utakumbuka haya ya kutokuwachezea wana wa watu

Ila kama ni hadithi ya mafundisho basi hitimisha tu
 
Muache kuwapotezea muda Wadada wa watu.

Binti akiangalia anakufulia akija ghetto, anakupikia, anadeki binti wa watu, kitanda anakutandikia na ukija kwenye kumtumia unamtumia hasa round 4 kila siku huku ukimbadirisha mikao leo Popo Kanyea mbingu, doggy n.k

Ila kuna wanaume wenzetu wana dhulumu haki za husband to be wa watu, hivi hata ukimwacha huyo binti Mwanaume atakayemwoa kweli ataambulia chochote si kila kitu amekufanyia wewe🙌

Hapo Mkuu kulogwa lazima chief🤪
Nami usisahau nampatia pesa n.k na kwenye styles nami nipo pia. Tunatumiana tukichokana tunaachana. Ole wake aniroge ntamfanya jambo baya sana huyu mbwa.
 
Mimi naona kwa kuwa umemdanganya na kumchezea mtoto wa watu na unataka kumuacha ili uende kwa mwingine uliemdanganya

Basi mimi naona kubali kurogwa tu maana ndio hukumu yako
Muulize kama anataka nywele au nguo au chochote cha kumalizia kazi ili uwe zezeta au muokota makopo

Yaani ukubali tu adhabu maana mnawaonea sana
Nina watoto wangu pia na wewe utapata wa kwako siku moja then utakumbuka haya ya kutokuwachezea wana wa watu

Ila kama ni hadithi ya mafundisho basi hitimisha tu
Daaaah..... Bob nimeshamwambia nitamfanya kitu kibaya aache ujinga. Mi sijamwahidi kumuoa. Kama vipi tuachane kwa amani tu.
 
Hii kauli imenishangaza. Huyu demu ananitishia maisha hivi hivi? Sijalala usiku wote namwazia .... Hivi anajielewa huyu?

Nlimuuliza amewah date wanaume wangapi akadai wa 4 jumla na mimi. Sasa hao wengine mbona hakuwaroga na walimwacha? Au kama aliwaroga ilimsaidia nini?

Nimewaza sijui nimuwahi yeye kwanza? Nimroge ili sasa ashindwe niroga maana yupo serious sana. Huwa anasimulia habari za kwao huko na uchawi. Sasa anataka ku practise kwangu. Yaani analazimisha mimi nikae naye milele?

Huu ni upuuzi. Na huyu nikiendelea kukaa naye pia ataniroga. Ndo maana nlikuwa nasita kula kwake toka day one. Ananilazimisha nile chakula chake namkatalia. Na kuchabangana natumia condom so kama anaweka dawa kule ndani hainipati. Ananishauri kila mara tukapime nimchabange dry namgomea. Itakuwa mtego tu huu.
Hahahha.. Kasheshe.. Kwanini hutaki kuwa nae milele? Na kama ulikuwa huna mpango wa kuwa nae milele ulimtongoza wa nn? Wapo wengi ambao hawachabangwi na kudampiwa. Ni bora afe kuliko umuache. Kila mtu ana moyo wake.
 
Wanawake huambizana kabisa kuroga wanaume wao wa ndoa Na wale wa michepuko,

Wanawaambiana kama Mwanaume anakupa hela mroge mshike asije akakuacha

Wengine wanaambiwa hivyo na wazazi wao mama zao , imagine

Mtu ataacha kufanya alichoambiwa na mama mzazi ?
Hata kama hajaambiwa na mama mzazi, hakuna mtu atakubali riziki yake iende kwa mwingine yeye aww mpenzi msikiaji au mtazamaji. Wanaume watamalizwa kwa style hii. Hapo kama una watt kwenye ndoa andika maumivu. Maana hata akiumwa mpka kufa hutowajali. Haya mambo ni janga kwa familia.
 
Mama wengine wanawaambia watoto wao wa kike waloolewa mapemaaa “ mroge mume wako” usipmroga wewe michepuko watakusaidia kumroga.

Unaweza kuona jinsi wanaume wanavyorogwa ndani na nje ya ndoa!
Nashanga huyo aliyesema hapo juu watu wakioa wataepuka hayo. Angejua kwenye ndoa ndio vilinge vilipolala kabisaaa.
 
Daaaah..... Bob nimeshamwambia nitamfanya kitu kibaya aache ujinga. Mi sijamwahidi kumuoa. Kama vipi tuachane kwa amani tu.
Basi mwambie tu ukweli wa kuwa ulikuwa unapoteza mda nae kwa matamanio tu na sasa huna haja nae tena

Uhame tu hiyo sehemu sasa
 
Nami usisahau nampatia pesa n.k na kwenye styles nami nipo pia. Tunatumiana tukichokana tunaachana. Ole wake aniroge ntamfanya jambo baya sana huyu mbwa.
Hahaha..................kumbe wote mpo kwenye Win - Win Situation 😅
 
Back
Top Bottom