Waliozima taa za jengo la kanisa, walikuwa na mpango gani na sadaka za waumini?

Waliozima taa za jengo la kanisa, walikuwa na mpango gani na sadaka za waumini?

Mamba kahamishia vita yake mtoni nanyi bila kustuka mnaingiza majeshi ndani ya nyumba ya ibada!
 
Kakojoe ukalale, acha kuposti na kujijibu mwenyewe, usiku saa hizi....
Umejisikiaje kumkosa uliyetumwa kumpoteza?

Mimi nimeshauri, kuanzia sasa Elimu ya kuwaandika kazi sungusungu isiwe chini ya diploma,

Maarifa yameongezeka sasa tubadilike!
 
Oh basi ondoa shaka, hata wezi watalionaje? Wasiwasi wako tu mkuu.

Anyway, weka picha ya hilo giza basi
Walishindwa kujua watu wale ni kuwa, hekaluni hata ukizima taa, Nuru haipotei.

Nina mpango wa kupeleka milioni kumi kituoni wanitunzie maana vibaka wavaa baibui wamezidi mtaani.
 
Walishindwa kujua watu wale ni kuwa, hekaluni hata ukizima taa, Nuru haipotei.

Nina mpango wa kupeleka milioni kumi kituoni wanitunzie maana vibaka wavaa baibui wamezidi mtaani.
Dah m10 ndo ulizonazo kwa ujumla wake? Hata hivyo hao wavaa baibui wanakaba mtaani mkuu siyo nyumbani kwako, au unatembeaga na hizo milion kumi mfukoni
 
Walishindwa kujua watu wale ni kuwa, hekaluni hata ukizima taa, Nuru haipotei.

Nina mpango wa kupeleka milioni kumi kituoni wanitunzie maana vibaka wavaa baibui wamezidi mtaani.
Inategemea mkuu, labda kama hilo hekalu lilishajipanga kukabiliana na hilo giza yaani kuwepo na mishumaa, ila kama hakuna mishumaa ndo basi tena
 
Hello!

Nini hasa walikuwa wamelenga watu Hawa?

Baada ya kuona waumini wanaomba bila kufumba macho, wakaamua kuzima taa!

Sasa kuzima taa walilenga Nini ilhali sadaka zikiwa kapuni?

Haya!
Walipitaje wakati kanisa limezingirwa na polisi!
 
Dah m10 ndo ulizonazo kwa ujumla wake? Hata hivyo hao wavaa baibui wanakaba mtaani mkuu siyo nyumbani kwako, au unatembeaga na hizo milion kumi mfukoni
Yaani umesikia milioni kumi unaiulizia mara mbili mbili.

Ninayo kwa soksi !
 
Back
Top Bottom