Waliouziwa nyumba za Serikali matatani

Agizo lilitoka katika kikao cha baraza la mawazili kwamaanaiyo serikali ilipitisha. Serikali ilizishindwa izo nyumba kwakua ilitakiwa iwe inaweka bajeti ya kuzihudumia marakwamara na ikaonekana ni mzigo mkubwa ukichukulia Nyumba nyingi zimejengwa na wakoloni miaka ya hamsini.Maamuzi yalikua wanaoishi kwenye nyumba izo wapewe kipaumbele na walipe kidogokidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jiwe alipaswa ajiuzulu kupinga uamuzi wa baraza zima la mawaziri.
Kitendo cha kuongoza zoezi lenye hasara kwa nchi kwa mikono miwili haiimpi excuse.
 
Agizo lilitoka katika kikao cha baraza la mawazili kwamaanaiyo serikali ilipitisha. Serikali ilizishindwa izo nyumba kwakua ilitakiwa iwe inaweka bajeti ya kuzihudumia marakwamara na ikaonekana ni mzigo mkubwa ukichukulia Nyumba nyingi zimejengwa na wakoloni miaka ya hamsini.Maamuzi yalikua wanaoishi kwenye nyumba izo wapewe kipaumbele na walipe kidogokidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli, ulikuwa ni ubinafsi tu. Kwa maslahi ya Taifa wangeamua basi kuzikabidhi kwa National Housing ili wazijenge upya na wawe wakala wa nyumba za serikali.

Angalia kwamba baada ya kuziuza walitumia mabilioni ya fedha, zaidi sana ya fedha walizopata kwa kuuza nyumba, kujenga kijiji cha nyumba za mawaziri na watumishi wa serikali kule Masaki. Nyumba walizojenga hakuna waziri anataka kukaa leo, hivyo serikali kuwa na mzigo mkubwa wa kuwapangishia nyumba vigogo, zaidi ya fedha ambazo wangetumia kuzihudumia nyumba za serikali.

Uamuzi wa kuuza nyumba za serikali ulikuwa wa kibinafs na kifisadi na suala la manufaa ya serikali halikuwapo kabisa. Ni watu kama Mkapa tu ndio wangefanya uamuzi kama huo.
 
Vichwa vya magazeti hutumika kuyauza hayo magazeti husika, vinakuwa havitoi picha halisi ya nini kilicho ndani ya habari yenyewe. Ukweli wa mambo ni kuwa wale ambao hadi kufikia leo hawajamaliza kulipia mkopo wa nyumba hizo na wale ambao wamebadili matumizi ya nyumba hizo na pia wale waliofanya ukarabati pasipo idhini ya TBA ndo wapo katika hatari ya kunyang'anywa nyumba. Pia wale ambao wameziuza nyumba hizo kinyume na ule Mkataba wamo katika hatari hiyo hiyo.
 
Si kweli, ulikuwa ni ubinafsi tu. Kwa maslahi ya Taifa wangeamua basi kuzikabidhi kwa National Housing ili wazijenge upya na wawe wakala wa nyumba za serikali.

Angalia kwamba baada ya kuziuza walitumia mabilioni ya fedha, zaidi sana ya fedha walizopata kwa kuuza nyumba, kujenga kijiji cha nyumba za mawaziri na watumishi wa serikali kule Masaki. Nyumba walizojenga hakuna waziri anataka kukaa leo, hivyo serikali kuwa na mzigo mkubwa wa kuwapangishia nyumba vigogo, zaidi ya fedha ambazo wangetumia kuzihudumia nyumba za serikali.

Uamuzi wa kuuza nyumba za serikali ulikuwa wa kibinafs na kifisadi na suala la manufaa ya serikali halikuwapo kabisa. Ni watu kama Mkapa tu ndio wangefanya uamuzi kama huo.
Walio zinunua si wafanyakazi wenyewe tena kwa kulipa kidogokidogo.zile nyumba serikali ilikua inatumia gharama kubwa kuzifanyia ukarabati.Alafu hii habari inaonekana ya muda mrefu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom