Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi watuhumiwa hao ni Innocent Adam Chengula na Tarzan Alfan Mwambengo wanaodaiwa kutumia picha na jumbe za simu zinazomuhusisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo kwa lengo la kutapeli pamoja na kuzusha kifo cha Dr. Mwakyembe.
Baada ya upekuzi walikutwa na Kadi za Simu zilizosajiliwa kwa majina yasiyowahusu, pamoja na jumbe zinazosomeka “Kaka naomba niazime Mil 3, Alhamisi nitarudisha”. na Kaka nina mtoto naomba umpatie kazi hapo kwako amesomea Bachelor of Commerce in Accounting"
Watuhumiwa hao wamekutwa na Laptop 1, Simcard 9 zenye usajili wa majina na mitandao tofauti, Moderm 1, Kipaza Sauti 1 na Simu 3. Katika tukio la kuzusha kifo cha Mwakyembe, mtuhumiwa alitumia mtandao wa Youtube na kuweka video ikiwa na maneno "BREAKING NEWS, HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKWEMBE".
Baada ya upekuzi walikutwa na Kadi za Simu zilizosajiliwa kwa majina yasiyowahusu, pamoja na jumbe zinazosomeka “Kaka naomba niazime Mil 3, Alhamisi nitarudisha”. na Kaka nina mtoto naomba umpatie kazi hapo kwako amesomea Bachelor of Commerce in Accounting"
Watuhumiwa hao wamekutwa na Laptop 1, Simcard 9 zenye usajili wa majina na mitandao tofauti, Moderm 1, Kipaza Sauti 1 na Simu 3. Katika tukio la kuzusha kifo cha Mwakyembe, mtuhumiwa alitumia mtandao wa Youtube na kuweka video ikiwa na maneno "BREAKING NEWS, HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKWEMBE".