Mimi sio mchagga,
ila secta hii ni kuweka ukabila pembeni, na kuangalia maslai ya chuo.
apa Prof. Mushi anafiti,
au yule Prof Kimambo wa CoeT...ila experience atajifunzia uko uko...( magu anavyopenda suprise, hakawii kumpa huyu kikombe ) ..
Likini nimeona kama vile "UDSM" wenyewe wamesababisha mjadala ambao pengine wangeweza kuuepuka. Sikuona sababu hasa ya wao kuuzungumzia mchakato ulivyofanyika na kisha Mkuu wa Chuo na Rais kufanya maamuzi tofauti bila hata kutoa sababu ya kufanya uamuzi huo tofauti. Kwa mfano Rais angetoa tu taarifa ya kumuongezea Prof Mukandala mwaka mmoja bila kwenda ndani kuhusu huo mchakato ulioishia njiani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.