Mnatumia vitabu vimetungwa enzi za mjerumani kina mambo mengi balaa.

mashine ticha kaificha tu inapigwa na vumbi tu ofisini, hamtumii.

Kuna ticha anaitwa mwakasege pale iyunga wa welding, yule wanafunzi wake alikuwa anawafundisha mpaka practical. Naamini wale jamaa wakitoka pale wanaweza kujiajili.
Umenikumbusha kitabu kimoja Cha Engineering Science kiliandikwa na mwamba mmoja aliitwa T.T Comb.

Yaani ukitembelea humo, ilikuwa kama unawachungulia NECTA wanavyoingia kwenye mfumo.
 
Elewa mada babu,kila mtu kaambiwa alete changamoto ya hizi shule,sasa mtoa mada kapiga iyunga tech labda ndo walikuwa wanapiga theory tuuu ila sie ifunda tech class ya civil engeneering tuligusa tope kwahiyo sio shule zote wanapiga theory tuu
mkuu si tulisoma Electronics and Radio servicing hatukuwahi kufungua radio wala Tv ila wengine walikua wanapiga ila kuna watu huwa wanatafuta changamoto tu 🤣
 
Elewa mada babu,kila mtu kaambiwa alete changamoto ya hizi shule,sasa mtoa mada kapiga iyunga tech labda ndo walikuwa wanapiga theory tuuu ila sie ifunda tech class ya civil engeneering tuligusa tope kwahiyo sio shule zote wanapiga theory tuu
Yah ni kweli pia Iyunga tech hata walimu wa science hakuna hususani Physics
 
hivi vile vitabu vipo madukani kwenye bookshop kubwa ?
Pale Mtwara Technical kulikuwa na copies chache zililetwa na walimu Wamarekani wa Peace Corp.

Ila wanafunzi walikua wakijiongeza na copies zilibaki chache.

Mimi nilifanikiwa kufanya photocopying na hiyo copy ikaja kupotea.

Nilijaribu kutafuta mitandaoni, sikufanikiwa.
 
Pale Mtwara Technical kulikuwa na copies chache zililetwa na walimu Wamarekani wa Peace Corp.

Ila wanafunzi walikua wakijiongeza na copies zilibaki chache.

Mimi nilifanikiwa kufanya photocopying na hiyo copy ikaja kupotea.

Nilijaribu kutafuta mitandaoni, sikufanikiwa.
anhaa sawa ngoja nitafute mtandaoni tu
 
Mtoa mada kasema "Ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo"
Si kweli. Mimi nilisoma umeme wakati nipo O-Level. Kulikuwa na vipindi vya practical na tuliingia workshop ambapo mnauda circuits tofauti kwenye meza zilizo na mbao maalumu Kwa ajili ya kugunga vifaa vya umeme.

Pia Mwl. Urban Nguli alikuwa anapewa kazi mtaani na alikuwa akituchukua kufanya kazi hizo Kwa mikono yetu kisha anakuja kukagua.

Mfano Kuna wakati Fulani alipata kazi ya kufanya marekebisho ya mfumo wa umeme pale Chuo Cha Ualimu. Alituita na tukaenda kupiga show kama kawaida.

Hii ilinifanya niwe napiga hela hata nikiwa likizo nyumbani. Huyu Mwalimu alituhimiza pia kuwa tufanye Ile mitihani ya Trade Test ya VETA. Yaani nilikuwa Certified Electrician hata kabla sijamaliza Secondary School.
 
Si kweli. Mimi nilisoma umeme wakati nipo O-Level. Kulikuwa na vipindi vya practical na tuliingia workshop ambapo mnauda circuits tofauti kwenye meza zilizo na mbao maalumu Kwa ajili ya kugunga vifaa vya umeme.

Pia Mwl. Urban Nguli alikuwa anapewa kazi mtaani na alikuwa akituchukua kufanya kazi hizo Kwa mikono yetu kisha anakuja kukagua.

Mfano Kuna wakati Fulani alipata kazi ya kufanya marekebisho ya mfumo wa umeme pale Chuo Cha Ualimu. Alituita na tukaenda kupiga show kama kawaida.

Hii ilinifanya niwe napiga hela hata nikiwa likizo nyumbani. Huyu Mwalimu alituhimiza pia kuwa tufanye Ile mitihani ya Trade Test ya VETA. Yaani nilikuwa Certified Electrician hata kabla sijamaliza Secondary School.
Nimeipenda hii naweza kuja pm maana nina binti yupo huko mtwara tech form 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli changamoto zipo nyingi sana katika shule za umma.

Changamoto hizo zinajumuisha Kwa uchache, ukosefu wa walimu, vifaa vya kujifinzia na kufundishia, Hali duni ya malazi Kwa wanafunzi wa bweni, shida za kibajeti n.k.

Lakini pamoja na changamoto hizo, tulijaribu kutafuta utatuzi. Mfano, sisi tuliokuwa tunatoka kwetu kupitia Dar, tuliweka kambi Kwa ndugu na jamaa Dar Ili kuendelea na tuition pale maeneo ya Mchikichini na Shule ya Uhuru Mchanganyiko.

Na hapa niwashukuru sana watu kama kina Mbuga, Hidden Agenda na wengineo ambayo walituwezesha kusoma tuition zao Kwa malipo ya Tsh. 200 Kwa kipindi. Walitusaidia sana.

Na baada ya kutudi shule, hatukuwa wachoyo. Tulijaribu kuwafundisha wenzetu ambayo hawana access na walimu hawa wa tuition Kwa sababu hawakuweza kwenda Dar wakati wa likizo. Tulisaidiana kupitia group discussions na wakati wa usiku wengine tulishika chaki ubaoni kama walimu. Waliosoma Mtwara Tech ni mashahidi.

Naamini kuwa Mwalimu hawezi kutoa 100% Ili mwanafunzi afaulu. Ni lazima mwanafunzi mwenyewe ajitafutie kama kuku au mbwa.

Pia tulikutana na changamoto za kukaa Kwa ndugu wakati wa likizo pale Dar. Tulikomaa na mihogo na viazi vya kukaanga pale Mchikichini mpaka jioni unaenda kulala ubavu Kwa masimango lakini asubuhi ukiamka unarudi tena kupambana tuition. Ila Leo tumetoboa na tumepiga hatua Kwa uvumilivu.

Hivyo basi, ni lazima mwanafunzi ajengewe spirit ya kujitafutia wakati yupo kwenye mbio za kushinda vita ya ufaulu.
 
Partical ya Moshi Technical nipo hapa from KARUME 33.

Moto " KUTII, KUWAJIBUKA NA KUZIBUNI MBINU ZA KAZI"

Nimesoma Plumbing (CIVIL).
Engineering science ilinifanya niione Mechanics ya Advance ni nyepesi sana wakati wenzangu wanalia.
 
Back
Top Bottom