Yah PGM nayo imesimama kimtindo ila siyo kiviiile maana hapo kuna hesabu hapo somo la marks za bure kwa hiyo hapo unabaki na masomo mawili tuHuu mzik mwepes ngoma PGM ndio hatar
Wiki ya kwanza nimefika nlikuta kuna jamaa anafundisha washikaji Biochemistry bila kudesa kwenye daftari dah alinichanganya halafu anajaza ubao anafuta mara kadhaa nlitamani kubadili combi, nikampigia bimkubwa akanambia ngoja tujaribu kufight ubadili shule uhamie PCM
physical Geog nilikuwa siipendi kichizi nilivyokuwa o lev na nikaichukiah Geog completely ,Huu mzik mwepes ngoma PGM ndio hatar
hii nimeripot tu nikakuta wanaume wanasolve paper ya necta iliyopita nilichoka na hali mm nina daftari mpya zote
bro nilikua sina nauli shule ilikua mbali tukawa tunapanga kuhama na kubadilisha comb twende EGM na mvivu mwenzangu Ila nashukuru mambo yalienda vizuri
mkuu yaliyo kukuta hayana utofauti na mm
Mimi kuna siku nililia...nilipokabidhiwa ule mkatetena ndo kipindi hicho unaingia form five bado ile harufu ya ordinal level haijakutoka vizuri , illikuwa ukifundishwa af hujapitia kama wiki tu hivi ukirudi tena kusoma unaona vitu vipya kabisa yaan dah
Simple harmonic motionAu labda wewe ndo unafika upo 5 unawaza topics kama projectile measurement af unakutana na jamaa ana solve topic kama wave au heat
Sio ww tu mkuu ata mm geog ilkua siifatilii kivile ila advance niliichambua kwelphysical Geog nilikuwa siipendi kichizi nilivyokuwa o lev na nikaichukiah Geog completely ,
Mtafute yoyote aliyepitia huu mzik atakwambia ata teacher wako mwenyewKwa lipi??
eti na mvivu mwenzangu dah umezivunja mbavu zangu kwa kwelibro nilikua sina nauli shule ilikua mbali tukawa tunapanga kuhama na kubadilisha comb twende EGM na mvivu mwenzangu Ila nashukuru mambo yalienda vizuri
Nakumbuka mwalimu wetu wa Bios Logos alikataa kutuambia maana ya anus akatushauri tulitafute kwenye dikshonari...
PCB si Combntn ya wadda mkuu..PCM mbona wachumba Tu, hahahahhah