Duh pole sana Kombaha alikuwa na mikwara mingi sana.. We ulimaliza lini?marehemu Kombaha aliwahi kunipa kofi mpaka chini mtu mzma nikawa sijielewi, afu akaenda kwa kipingu akamwambia niondoke mimi abaki yeye AU aondoke yeye nibaki mimi
Duh!namkumbuka sana mkaanga sumu(r.i.p),bruce,bab side.
Bwawa la samaki lilichimbwa na wanafunzi kwa hisani ya marehemu miraji,late lt.maundi mzee wa nyundo.
ndio huyo huyoHuyu kombaha marehemu? Ni yupi yule alikuwa anafundisha french na nimlemavu???
Miraji Muhombolage apumzike kwa amani. Wapi babu side?Afande Miraji anastahili walau mnara wa kumbukumbu yake Makongo ....ile shule haiwezi kutajwa bila Afande Miraji ...R.I.P ..
Inalilah.....kumbe yule mwalimu alifikwa na mautiHuyu kombaha marehemu? Ni yupi yule alikuwa anafundisha french na nimlemavu???
Wapi KIjenge shule ya MSINGI?habarini wana JF, napenda kuwakaribisha wadau waliosoma Makongo high school enzi hizo tukumbushane mambo mbalimbali ambayo kwa namna flani yalikufanya kutosahau maisha ya pale, mimi mpaka kesho siwezi kumsahau afande Miraji (marehemu sasa) alinipiga konzi mpaka nikakaa chini kwenye sakafu badala ya kiti, vilevile siwezi kusahau JORO nilikuwa mdau mkubwa, karibuni wadau na nyinyi mtoe ya kwenu...........
Tena kweli mama mchwa mpakawapi Mama Muchwa
Mahubdi alishafariki long timeAhahaaa wapi Mahundi huyu jamaa. Alikuwa anapiga konzi sana darasan alitufundisha math.form.2,benny,werere,hawa wote waalimu wa math.
Jamaa Gani huyo mkuu?nimeingia kidogo huo mtaaMarehemu Miraji alikuwa anapenda sana sifa, alimpiga jamaa makonzi kwao Area C kisa tuu jamaa alikuwa amevaa Uniform hakafu hajachomekea
Huyu Ruth namfahamu,nimemaliza nae form fourNyie wote mliochangia uzi huu wote mlikuwa watukutu sana! Maana wote mnasimulia jinsi mlivyokula makonzi. Nani anamkumbuka Ruth Kitundu, au binti wa Mama Kyulule?