Hahahahahaha umenikumbusha mbali xana babu...kwenye joro pale miaka ya hiv karibun alikuepo babu juma pale na jamaa moja hivi hivi bongebonge...Kwenye mihogo pale kati,juice ya miwa....hahahahahaha dah
Hahahahahaha umenikumbusha mbali xana babu...kwenye joro pale miaka ya hiv karibun alikuepo babu juma pale na jamaa moja hivi hivi bongebonge...Kwenye mihogo pale kati,juice ya miwa....hahahahahaha dah
Hahaaaaaaaaa longtime kinoma mi namkumbuka sana Meja Yeyeye(marehemu) alikuwa akiongea mate yanamtoka kama mvua, alikuwa anazinguaga kichizi. Halafu Babu sijui yuko wapi siku hizi
Babu Chacha alikuwa anatupiga kicha anabusu mkono sijui yuko wapi sasa !!!!. Babu alinipa jina la Machomacho. Wapi Hadija Shaibu na Roida Nyinge!!!!!
sijui wewe ulisoma kipindi cha nyumba mabati au? afande babu na miraji (rip) getini dah! wako wapi form 4 wa kwanza baada ya kuwa makongo? nilikuwa mtundu kupindukia lkn mwanafunzi bora sayansi
Nilisoma kipindi cha mabati form one d2 na form two shule ikasajiliwa na kuitwa Makongo mwaka 1995. Wapi Lilian Kilongomtwa,Maurine Mvuoni,Florida Mosha kipindi cha Longway