Lyamungo chama tupo hapa,
Mimi nilimaliza pale o level 2004 kipindi hicho yuko bureta,shoo(ameshastaafu na kwa sasa ana bar yake inaitwa snake bite iko karibu na kcmc hospital), lyaruu(sasa anafundisha mawenzi sekondari).
Nawakumbuka mwl. Kanyindo,masawe,nyela,lyatuu,kitalawe,vaileth,temba,mugogo n.k