Acheni dharau nyie wangese kwani hkl sio kombi?kwani English language na basic maths vina tofauti gani?acheni dharau nyie afu eti mnawaita madogo waliosoma hio combination,, we kama kibaya kwako kwa mwenzio kizuri na kizuri kwa mwenzio kwako kibaya kwaiyo tuache unaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.