waliosoma HKL tukutane hapa

waliosoma HKL tukutane hapa

Sitarajii kukuta mtoto wa kiume kwenye huu uzi nae anashare experience kuhusu HKL

natania tu wakuu ila haka ka kombi huwa ni kakidada sana
 
Kuna vikwazo gani au changamoto jamani?Huo si ndio mchepuo rahisi kwa advance level jamani
 
mi nikajua mtadiscuss mmekosa mkopo mfanye alternative gani kumbe mnadiscuss u.puuzi mpaka mnaidhalilisha pure maths??
SHAME ON YOU...!!
 
Acheni dharau nyie wangese kwani hkl sio kombi?kwani English language na basic maths vina tofauti gani?acheni dharau nyie afu eti mnawaita madogo waliosoma hio combination,, we kama kibaya kwako kwa mwenzio kizuri na kizuri kwa mwenzio kwako kibaya kwaiyo tuache unaaa
 
Back
Top Bottom