R100
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 337
- 81
Mnatusumbua sana na vimada vyenu vya kisenge , subirini hizo post zenu muende huko vyuoni na sio kutuletea utoto wenu hapawe hujielewi ndo maana... sa umecoment nini if your not intrested with!!!!...kiherehere tu na kutafta kiki
Umeona eehHakyanani kwa staili hii kuna mtu siku atasema wenye mafua wote tukutane hapa!
Mkuu usijidanganye eti hamna kusoma kufaulu lazima hayo ni maneno tuu hata kwenye kanga yapo,msuli kwenye hkl sio wa kitoto ni msuli kweliHatusomi Kufaulu Lazima...nany mnachangamoto...
basi we kilaza uliyeshindikanaMkuu usijidanganye eti hamna kusoma kufaulu lazima hayo ni maneno tuu hata kwenye kanga yapo,msuli kwenye hkl sio wa kitoto ni msuli kweli
Haina mbaya mkuubasi we ****** uliyeshindikana
language vs math bac language ni sheedah mkuuhujasoma HKL huezi... jua language yenyewe kama hesabu
hamna vya kupostHakyanani kwa staili hii kuna mtu siku atasema wenye mafua wote tukutane hapa!
Wote waliosoma HKL umewaita wadogo daaahOya nyie madogo mnazingua sana na mada zenu za kisenge senge
Hakutukanae (akutukanae) Jifunze kiswahili mkuuNyie Madogo Kweli Chenga, Yaani mnafananisha Hesabu Pure Mathematics Na Language Aka HKL ,daaaah kweli Hakutukanae Hakuchagulii Tusi...
Kwel mnamoyo hiv mnavyotengwa had kwenye mikopolet us share all about HKL...vikwazo,changamoto na mafanikio