Waliosema wanataka Rais mwenye maamuzi magumu wako wapi ?

Supervision

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
265
203
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi watu walisema wanataka Rais asiyeogopa,mwenye maamuzi magumu,mtu fulani anayefanana na kagame lakini baada ya kuja mtu kama huyo wamebaki wanaokoteza hoja nyingine.

Mi nadhani katika kipindi hiki wote tunatakiwa kuungana na kuwa kitu kimoja ili kulifanya taifa lisonge.

Kitu cha msingi ni kuwa pamoja na kuangalia tunachoweza kufanya taifa lisonge lasivyo tutaishia kulalamika tu !
 
JPM daah

Akina Lissu, Zitto walimshauri wamemuona Kavamia Kingo za barabara wanaruka ushauri waliokuwa wanautoa!

Walishauri Safari za Nje zisitishwe, Mchanga usisafirishwe, Matumizi ya Serikal yapunguzwe utekelezaji umeanza wanamruka!
 
Hahaaa..kwa kwel umenikumbusha kitu, kuna watu kipindi kile cha jk walidiriki kusemezana kwamba Hii inchi ingepata dikteta mmoja angalau aiongoze kwa miaka mi5 tungenyooka..sasa tuliyenaye hata sio dekteta watu wameshaanza kuomba poo
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi watu walisema wanataka raisi asiyeogopa,mwenye maamuzi magumu,mtu fulani anayefanana na kagame lakini baada ya kuja mtu kama huyo wamebaki wanaokoteza hoja nyingine.
Mi nadhani katika kipindi hiki wote tunatakiwa kuungana na kuwa kitu kimoja ili kulifanya taifa lisonge.

Kitu cha msingi ni kuwa pamoja na kuangalia tunachoweza kufanya taifa lisonge lasivyo tutaishia kulalamika tu !
Uko sawa...upinzani usanii ndo unaendelea now.hata hawajui waliwahi kusema nini
 
Maamuzi magumu yapi ambayo yameshafanyika? Mastermind yeyote wa ufisadi mkubwa wa kuchelewesha maendeleo ya TZ amekamatwa/kushitakiwa/kufilisiwa? Uamuzi mgumu na wa karne utakuwa ni kurudisha mchakato wa katiba ya Warioba tu,huo ndio utakuwa foundation ya Tz mpya.
 
JPM daah

Akina Lissu, Zitto walimshauri wamemuona Kavamia Kingo za barabara wanaruka ushauri waliokuwa wanautoa!

Walishauri Safari za Nje zisitishwe, Mchanga usisafirishwe, Matumizi ya Serikal yapunguzwe utekelezaji umeanza wanamruka!
Hadi Dr. Kasema harudi tena Tanzania kweli JPM kawapoteza.
 
Hahaaa..kwa kwel umenikumbusha kitu, kuna watu kipindi kile cha jk walidiriki kusemezana kwamba Hii inchi ingepata dikteta mmoja angalau aiongoze kwa miaka mi5 tungenyooka..sasa tuliyenaye hata sio dekteta watu wameshaanza kuomba poo
Hahahhahh hapo ndipo unapowajua watu na tabia zao.Sasa naanza kukosa imani na hao watu
 
Maamuzi magumu yapi ambayo yameshafanyika? Mastermind yeyote wa ufisadi mkubwa wa kuchelewesha maendeleo ya TZ amekamatwa/kushitakiwa/kufilisiwa? Uamuzi mgumu na wa karne utakuwa ni kurudisha mchakato wa katiba ya Warioba tu,huo ndio utakuwa foundation ya Tz mpya.
Kwahiyo una maanisha wamkamate pia lowassa ?
Maana kipindi kile niliaminishwa lowassa ndiye fisadi mkuu na niliamini.

Saahizi labda wamkamate nani sawa tuliondoe jina la lowassa nani ashikwe ?
 
Kwa ukweli wazungu wametuiba kwa kiwango cha kutisha. Lakini tatizo lipo kwenye mikataba ya kimataifa na ya kibiashara tulioridhia kupitia kwa ama Bunge letu au mawaziri wetu. Nikikumbuka jinsi bunge letu linavyoridhia mikataba ya kimataifa aina hata hamu, hua haeachukulii uzito. Mawaziri ndiyo kina Karamagi walioenda ughaibuni tena na whisky juu halafu leo sahihi yake inatuletea shida?!!

Maghufuli hatafanikiwa kwa kuwa anazungukwa na ombwe linaloitwa CCM. Na humo wote ni wachafu hata Maghufuli amekuemo humo
 
Hata katiba ikiwa nzuri ndugu yangu kama raisi hana uthubutu inakula tu kwenu.
We usiende mbali ona kenya wanavyohangaika
 
JPM yuko serious mi wapinzani nawakubali ila saahizi nawaona wanaanza kuwa mzigo maana hawajui wanachoongea.

Ikitokea kesho JPM anachukua form chadema watashangilia na kumsifia
 
JPM daah

Akina Lissu, Zitto walimshauri wamemuona Kavamia Kingo za barabara wanaruka ushauri waliokuwa wanautoa!

Walishauri Safari za Nje zisitishwe, Mchanga usisafirishwe, Matumizi ya Serikal yapunguzwe utekelezaji umeanza wanamruka!
Mkuu Pohamba, hawa ni wepesi sana. Walifaidika na ile hulka ya JK ya kupenda kupuuzia vitu, matokeo yake kila kukicha wakawa wanapata kiki za bure bure tu.

Sasa hivi JPM hawapi nafasi ya kutengeneza kiki za kitoto kama walivyozoea, matokeo yake wanaanza kubadilisha kauli na mitazamo yao.
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi watu walisema wanataka Rais asiyeogopa,mwenye maamuzi magumu,mtu fulani anayefanana na kagame lakini baada ya kuja mtu kama huyo wamebaki wanaokoteza hoja nyingine.

Mi nadhani katika kipindi hiki wote tunatakiwa kuungana na kuwa kitu kimoja ili kulifanya taifa lisonge.

Kitu cha msingi ni kuwa pamoja na kuangalia tunachoweza kufanya taifa lisonge lasivyo tutaishia kulalamika tu !
Bila kuwasahau wale waliodiriki kumuita Rais aliyekuwa madarakani DHAIFU, huu ulikuwa ni wakati sasa wa kuappreciate ungangari wa Rais.
 
Back
Top Bottom