Waliopangiwa kidato cha kwanza 2019 - 2020

Waliopangiwa kidato cha kwanza 2019 - 2020

Mbona mi sioni orodha ya wanafunzi waliopangiwa kidato cha kwanza wadau?
 
Suleiman Jafo anazingua! Angejikalia zake kimya mpaka majina na shule wanakoenda vitakapokuwa tayari ndo atangaze! Sijui alikiwa anawashwa?
 
Majina huwa yapo halmshauri husika.
Kutoa list mitandaoni labda waanze mwaka huu.
Miaka yote huwa yanapatikana kwenye mitandao pia! Hii Tanzania ni kubwa na Halmashauri nyingi ziko mbali na wananchi wengi! Pia maisha ya sasa kwa taharifa zinazogusa moja kwa moja wananchi lazima utumie mtandao! Mnaturudisha miaka ya 47?
 
Inategemea na mkoa uliopo, baadhi ya mikoa tayari..ila baadhi Kama Dar na mingine,bado
 
Ni ngumu kuipata. Hata hivyo si mikoa yote orodha yake iko tayari. Dar bado... Kilimanjaro,Mbeya, Mtwara,Njombe, ndiyo tayari...

Jaribu humu uniforum.tz
Mbona mi sioni orodha ya wanafunzi waliopangiwa kidato cha kwanza wadau?
 
Duuuh warea si unajuwa enzi zetu ukiwa na A zote unaanza kuwaza Tabora boys, Ilboru,Mzumbe na nk
Hahahahaaaa, nilibahatika kwenda Boarding pekee yangu kwa wavulana kata nzima, sikulala aisee nikawa nawaza jinsi huko panavyofanana, kuanzia jiji hadi shule ilivyo.....

Nicheki avatar ndio picha yangu ya passport niliyoweka kwenye ID ya shule nikiwa O-level. Naendelea kuitunza ataiona mtoto wangu Mungu akipenda
 
Hahahahaaaa, nilibahatika kwenda Boarding pekee yangu kwa wavulana kata nzima, sikulala aisee nikawa nawaza jinsi huko panavyofanana, kuanzia jiji hadi shule ilivyo.....

Nicheki avatar ndio picha yangu ya passport niliyoweka kwenye ID ya shule nikiwa O-level. Naendelea kuitunza ataiona mtoto wangu Mungu akipenda
Hahahhahaha huwa naicheki sana hadi nafurahi mwenyewe, mie kutoka kijijini ndio kwanza hata mjini kwenyewe sipajui ila ndio hivyo nilienda Boys Tabora huko
 
Hahahhahaha huwa naicheki sana hadi nafurahi mwenyewe, mie kutoka kijijini ndio kwanza hata mjini kwenyewe sipajui ila ndio hivyo nilienda Boys Tabora huko
Mimi pia siku naenda shule ndio ilikuwa siku ya kwanza kupafahamu Singa Town...

Shule imenifanya niyajue majiji 2 makubwa nchini. O-level nilipelekwa jijini, A-level nikapelekwa jiji lingine pia ndio nikazamia huko hadi nikajinyakulia kadigrii kangu cha kibashite ambacho kanapigwa mweleka mtaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi pia siku naenda shule ndio ilikuwa siku ya kwanza kupafahamu Singa Town...

Shule imenifanya niyajue majiji 2 makubwa nchini. O-level nipelekwa jijini, A-level nikapelekwa jiji lingine pia ndio nikazamia huko hadi nikajinyakulia kadigrii kangu cha kibashite ambacho kanapigwa mweleka mtaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mimi pia siku naenda shule ndio ilikuwa siku ya kwanza kupafahamu Singa Town...

Shule imenifanya niyajue majiji 2 makubwa nchini. O-level nilipelekwa jijini, A-level nikapelekwa jiji lingine pia ndio nikazamia huko hadi nikajinyakulia kadigrii kangu cha kibashite ambacho kanapigwa mweleka mtaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahha vija wang'u
 
Back
Top Bottom