galagaja mtoto
Member
- May 24, 2012
- 84
- 33
mi nimenukuu tu. hOtuba ya Mh Hawa Ghasia
"Mheshimiwa Spika, kujenga uwezo wa Sekretarieti za Mikoa ni pamoja
na kuimarisha utendaji wa Maafisa Tarafa. Mkakati uliopo ni
kuhakikisha kuwa Maafisa Tarafa wanapata vitendea kazi hususan
vyombo vya usafiri na ofisi. Aidha, nafasi wazi za Maafisa Tarafa 145
tayari zimepata kibali cha ajira na mchakato wa kuwaajiri unaendelea."
LABDA TUENDELEE KUSUBIRIA.
"Mheshimiwa Spika, kujenga uwezo wa Sekretarieti za Mikoa ni pamoja
na kuimarisha utendaji wa Maafisa Tarafa. Mkakati uliopo ni
kuhakikisha kuwa Maafisa Tarafa wanapata vitendea kazi hususan
vyombo vya usafiri na ofisi. Aidha, nafasi wazi za Maafisa Tarafa 145
tayari zimepata kibali cha ajira na mchakato wa kuwaajiri unaendelea."
LABDA TUENDELEE KUSUBIRIA.