walioomba uafisa tarafa someni hapa

May 24, 2012
84
33
mi nimenukuu tu. hOtuba ya Mh Hawa Ghasia

"Mheshimiwa Spika, kujenga uwezo wa Sekretarieti za Mikoa ni pamoja
na kuimarisha utendaji wa Maafisa Tarafa. Mkakati uliopo ni
kuhakikisha kuwa Maafisa Tarafa wanapata vitendea kazi hususan
vyombo vya usafiri na ofisi. Aidha, nafasi wazi za Maafisa Tarafa 145
tayari zimepata kibali cha ajira na mchakato wa kuwaajiri unaendelea."


LABDA TUENDELEE KUSUBIRIA.
 
mi nimenukuu tu. hOtuba ya Mh Hawa Ghasia

"Mheshimiwa Spika, kujenga uwezo wa Sekretarieti za Mikoa ni pamoja
na kuimarisha utendaji wa Maafisa Tarafa. Mkakati uliopo ni
kuhakikisha kuwa Maafisa Tarafa wanapata vitendea kazi hususan
vyombo vya usafiri na ofisi. Aidha, nafasi wazi za Maafisa Tarafa 145
tayari zimepata kibali cha ajira na mchakato wa kuwaajiri unaendelea."


LABDA TUENDELEE KUSUBIRIA.

Watupatie japo bajaji
 
Back
Top Bottom