KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
Swali la msingi naamini ni hilo hapo juu!!!
Bila shaka hawawezi kujitokeza wengi maana wao si rasmi! kwahiyo kwasababu mbalambali hata ungekua ni wewe isingekua rahisi kwenda kusikiliza mashitaka lakini naamini wengi wao kama wapo watakua wanafuatilia kwa karibu! hata hivyo itategemea mahusiano yalivyokua kabla ya haya yote kutokea!
Zion G .! Unaona watu wenye upeo wa kutambua mambo hawa ! we unamuliza mtu Rais wa Tanzania anaitwa nani kisha anakupa jibu kwamba anaishi Kibaha...Unategemea nini kwa mtu wa jinsi hiyo ?![/QUOTE]
Eheeeeeeeeeee! sasa hizo quotation za nini? lakini bado najiuliza sielewi
mh hii nzito poa nashukuru!