Waliomzomea mwanasheria hawajitambui

Waliomzomea mwanasheria hawajitambui

MR. MORRIS T. J.

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
1,167
Reaction score
403
Kwanini Wapige Kura Kama Walijua Wote Walitakiwa Waseme Ndiyo?Neno La Hapana Kwanini Waliliweka?Waliwekewa Watu Gani?Et Mwanasheria Mkuu Hakuwemo Bungeni, Unajua Sababu Iliyomfanya Asiwemo?Katumia Uhuru Wake Sasa Kwanini Kumzonga? Kulikuwa Na Haja Gani Ya Kupiga Kura Sasa Kama Mtu Katumia Haki Yake Ya Msingi? Mimi Nawapinga Wote Waliomzomea Mwanasheria Mkuu. Tulisema Kuwa Na Wabunge Wa Std Seven Au Form 4 Felia Ni Majanga Makubwa!! Sidhani Kama Mwenye Digree Angefanya Hvy.
 
Nchi hii ya Kusadikika, viongozi jasiri wanawindwa na mamuluki.
 
Mi nadhani kuna haja ya kupimwa akili kabla ya kuingia bungeni...
 
CCM yenyewe inajua unapokuwa na wabunge mbumbu kama alimpinga mwanasheria mkuu mzalendo. Hata kwa kumwangalia tu unajua kichwani hamna kitu. Eti anasema kukataa anajiona kasoma! Kweli kasoma ndio maana ni mwanasheria mkuu. Wao walizani yeye ni mamluki kama wao.
 
Napendekeza kiwango cha elimu ya mtu anayetaka kuwa mbunge walau iwe Diploma au degree ya chuo kikuu.
 
CCM yenyewe inajua unapokuwa na wabunge mbumbu kama alimpinga mwanasheria mkuu mzalendo. Hata kwa kumwangalia tu unajua kichwani hamna kitu. Eti anasema kukataa anajiona kasoma! Kweli kasoma ndio maana ni mwanasheria mkuu. Wao walizani yeye ni mamluki kama wao.
Hii comment imeandikwa na mtu anayetumia akili ya kukodi
 
Napendekeza kiwango cha elimu ya mtu anayetaka kuwa mbunge walau iwe Diploma au degree ya chuo kikuu.
Chadema itaumbuka....akina sugu, lema, msigwa na hata mbowe watausikia ubunge kwenye radio
 
Kwanini Wapige Kura Kama Walijua Wote Walitakiwa Waseme Ndiyo?Neno La Hapana Kwanini Waliliweka?Waliwekewa Watu Gani?Et Mwanasheria Mkuu Hakuwemo Bungeni, Unajua Sababu Iliyomfanya Asiwemo?Katumia Uhuru Wake Sasa Kwanini Kumzonga? Kulikuwa Na Haja Gani Ya Kupiga Kura Sasa Kama Mtu Katumia Haki Yake Ya Msingi? Mimi Nawapinga Wote Waliomzomea Mwanasheria Mkuu. Tulisema Kuwa Na Wabunge Wa Std Seven Au Form 4 Felia Ni Majanga Makubwa!! Sidhani Kama Mwenye Digree Angefanya Hvy.

Kumbe na we mwenyewe hujielewi tafsiri yako kuhusu elimu unaonekana bado hujaelimika
 
Kwanini Wapige Kura Kama Walijua Wote Walitakiwa Waseme Ndiyo?Neno La Hapana Kwanini Waliliweka?Waliwekewa Watu Gani?Et Mwanasheria Mkuu Hakuwemo Bungeni, Unajua Sababu Iliyomfanya Asiwemo?Katumia Uhuru Wake Sasa Kwanini Kumzonga? Kulikuwa Na Haja Gani Ya Kupiga Kura Sasa Kama Mtu Katumia Haki Yake Ya Msingi? Mimi Nawapinga Wote Waliomzomea Mwanasheria Mkuu. Tulisema Kuwa Na Wabunge Wa Std Seven Au Form 4 Felia Ni Majanga Makubwa!! Sidhani Kama Mwenye Digree Angefanya Hvy.
Upo sahihi ila kwenye rangi hizo rekebisha
 
Shujaa ni yule anaejitambua na hafuati kila kitu kama karagosi.
Vikaragosi utavijua kwani hugeuka na kuinama kwa kufanyishwa na remote control.
Ndio sawa na wale walopiga kura kila kitu yes kwenye draft yote bila kuhoji.
wanaendeshwa na remote sio vichwa vyao.
Hivi hawana haya hawajui hii katiba inainyonga znz kwa kuingilia katiba ya znz?
Wao ccm znz ni matumbo yao tu?
Hawajali maslahi ya waliko toka?
Wanatia aibu sana sana ...yaani watu wazima wana nchi yao wana dini yao wana heshma zao ..leo wanatoka kwao znz na kuja dodoma kutukanana na kutoleana maneno.
Ni njaa tu kwa watu wazima wasafiri hadi dodima kwenda kuipiga tanji nchi yao huku wale wanaokataa na kusimamama kidete kutetea uhuru wake na haiba yake mnawatukama.
Hakika ni msiba mkubwa unewakumba wazanzibar hasa ccm.
 
Ni aibu kwa waliomsomea mwanasheria mkuu zanzibar badala ya kusikiliza hoja wao ni kusomea, bahati mbaya hawajitambui kama wanafanya mambo ya aibu kusomeasomea. Mwanasheria mkuu ametumia haki yake ya msingi kupiga kura ya hapana kwa vipengele aliyokuwa ameona haipo sawa kwa masilahi ya taifa. Shida watu waliokosa hoja kwasababu tu ya masilahi yao binafsi wanatia aibu kwa kusomeasomea kwasababu hawataki kuona masilahi yao yaachwe badala ya utaifa kwanza.
Ni jambo la aibu kwa wasomeasomea.
Na katika hili mwanasheria mkuu zanzibar ni mwishindi mbele ya uma kwa kuiweka utaifa mbele na matakwa ya wananchi waliowengi.
 
Kwa kweli... Hio ya darasa la saba ni shiddah.

Personaly napendekeza tuanzie na mwenye bachelor... Maana enzi za kuendeshwa na watu wasio na elimu tosha zishapitwa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom