Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Chadema itaumbuka....akina sugu, lema, msigwa na hata mbowe watausikia ubunge kwenye radio
kumbe AG ZNZ NI ChADEMA
Chadema itaumbuka....akina sugu, lema, msigwa na hata mbowe watausikia ubunge kwenye radio
Hii comment imeandikwa na mtu anayetumia akili ya kukodi
Mimi nadhani itungwe kanuni maalum kuwaruhusu hawa wanaojiita waheshimiwa kushikishana adabu kwa kutwangana kwa mangumi bila kutumia silaha yoye pale wanapotofautiana. Mimi huwa sipendi kuona watu wazima wanatishiana kupigana halafu mwishowe wanaishia kutupiana maneno kama walevi.