Albadil hasomewi kafir. Tundu lisu ni kafir hiyo albadili mungu hataisikiliza. Kuna mtu naitwa Salman Rushdie kama kweli kuna hiyo nadhani angesomewa huyu jamaa maana aliuudhi umma mzima wa Mtume kwa kuita kitabu kitakatifu ni aya za shetani. Lakini jamaa mpaka sass anaponda maisha kishatoka mafichoni.Inasemekana hali ya Tundu Lissu bado ni tete bado yuko ICU.
Haruhusiwi kuongea na watu zaidi ya madaktari na mkewe.
Waliomshambulia kusomewa Albadili kesho.
Hii imekaaje?
Alibadili ni nini?
Matokeo ikisomwa ni nini?
Wakina husoma Alibadili?
Mkuu wamekuunganisha huku kwenye liuzi la kimbululaHii ni thread maalum kujuzana hasa nini matokeo ya kilichosomwa nchi nzima baada ya swala ya ijumaa.
Tukizingatia wana JF wako dunia nzima hakika hamna litakalopita
Kwa kuwa watuhumiwa hasa bado hawajajulikana na maneno ni mengi na wajuzi wa mambo wanasema hili kombora huwa halina reverse gear,yaani mbele kwa mbele.
Tutaungana na Barafu kutoka viunga vya Toronto hasa kutupa habari za Dr Slaa,Lemutuz na Makonda so far ni wazima wa afya mpaka sasa,kutoka Nairobi hamna habari mpya sana Mbowe,Msigwa na Lema wanaendelea vizuri.PolePole na Gambo mambo yao bado yako poa.Yeriko Nyerere waliokuwa karibu naye wanasema ameenda shambani kwake kama kawaida.
Kubenea wanadai jana walipoconfirm kwamba albadri itakuwepo hali yake ilibadilika ghafla.
UPDATES ZINAKUJA KADRI TUNAVYOZIPOKEA
Ndo tunataka iwe hivyoHofu yangu kubwa tusije tukaludi kwenye uchaguzi tuu!
nashangaa hata mimiMkuu wamekuunganisha huku kwenye liuzi la kimbulula
Ni maneno mengine yanayomaanisha maneno "hali badili"...yaani kubadilika kwa hali kutoka hali ya sasa kwenda kwenye hali nyingine.Mkuu wamekuunganisha huku kwenye liuzi la kimbulula
OK mkuuAlbadil hasomewi kafir. Tundu lisu ni kafir hiyo albadili mungu hataisikiliza. Kuna mtu naitwa Salman Rushdie kama kweli kuna hiyo nadhani angesomewa huyu jamaa maana aliuudhi umma mzima wa Mtume kwa kuita kitabu kitakatifu ni aya za shetani. Lakini jamaa mpaka sass anaponda maisha kishatoka mafichoni.
Albadili+kuvunja chungu. Lazima watu wapasuke vichwa hadharani.
Screw you.
Laiti ingekuwa kweliVinyesi vya vizee vya kizungu vimesha haribu ubongo wako. Utazoa sana mavi huko.
Na ni mazuzu na mazwazwaMalofa na wapumbavu..
Kabisa....wakati North Korea anajaribu Ballistics missiles zake sisi tunachoma ubani eti na kusoma sijui vitu gani eti vinasaidia kukamatwa wahalifu si ujinga ulipitiliza huo hata kichaa hawezi kufanya ujinga kama huo.Na ni mazuzu na mazwazwa
Na wanaopiga risasi wenzao sio wajinga Mkuu?Kabisa....wakati North Korea anajaribu Ballistics missiles zake sisi tunachoma ubani eti na kusoma sijui vitu gani eti vinasaidia kukamatwa wahalifu si ujinga ulipitiliza huo hata kichaa hawezi kufanya ujinga kama huo.
Nasikia Mbeya Kishanuka huko