Waliomo wanatamani KUTOKA,na walio nje wanatamani KUINGIA.

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,546
1,662
Unapoamua kuianza safari hii ndefu huna budi kuzikubali changamoto zake,Mapenzi ni matamu sn iwapo kwa wkt huo kila mmoja anampenda mwenzake huyo ukimuuliza atakwambia yeye hatamani kutoka tena hujitoa kwa khali na mali kulitetea penzi lake.Lakini yule anaeteswa na penzi ukimuuliza atakwambia mengi tena yenye kulaani huku akiahidi hatopenda tena maisha yake yote.Ushauri kama ni wewe ungemshauri nini yule anaetamani kuingia?na je yule anaetamani kutoka utamwambia nini?
Yote haya ni mapenzi.
 
siwezi jua cha kumuambia bila kujua sababu ya yeye kutaka kutoka au yeye kutotaka ingia kwenye mapenzi......kuna sababu ukizisikia unamsahauri atoke faster,kuna nyingine zinavumilika.....:rain:
 
siwezi jua cha kumuambia bila kujua sababu ya yeye kutaka kutoka au yeye kutotaka ingia kwenye mapenzi......kuna sababu ukizisikia unamsahauri atoke faster,kuna nyingine zinavumilika.....:rain:
Hello sis
 
Unapoamua kuianza safari hii ndefu huna budi kuzikubali changamoto zake,Mapenzi ni matamu sn iwapo kwa wkt huo kila mmoja anampenda mwenzake huyo ukimuuliza atakwambia yeye hatamani kutoka tena hujitoa kwa khali na mali kulitetea penzi lake.Lakini yule anaeteswa na penzi ukimuuliza atakwambia mengi tena yenye kulaani huku akiahidi hatopenda tena maisha yake yote.Ushauri kama ni wewe ungemshauri nini yule anaetamani kuingia?na je yule anaetamani kutoka utamwambia nini?
Yote haya ni mapenzi.
Marafiki wabaya kama huyo kwenye RED ndio wanaovunja ndoa za watu...
Kwanini kuulizauliza mambo ya nyumba ya mtu, umekuwa polisi?...Ukiona mtu anasimulia mambo ya ndoa yake ujue huyo aliingia mguu mmoja...I hate such people!
 
Unapoamua kuianza safari hii ndefu huna budi kuzikubali changamoto zake,Mapenzi ni matamu sn iwapo kwa wkt huo kila mmoja anampenda mwenzake huyo ukimuuliza atakwambia yeye hatamani kutoka tena hujitoa kwa khali na mali kulitetea penzi lake.Lakini yule anaeteswa na penzi ukimuuliza atakwambia mengi tena yenye kulaani huku akiahidi hatopenda tena maisha yake yote.Ushauri kama ni wewe ungemshauri nini yule anaetamani kuingia?na je yule anaetamani kutoka utamwambia nini?
Yote haya ni mapenzi.

Maisha ya ndoa ni changamoto! Kwa yeyote anayetarajia kuingia ktk maisha hayo basi atarajie hizo changamoto. Kwa ushauri niseme tu ndoa ni taasisi inayohitaji weledi mkubwa ktk nyanja zote za maisha (kijamii, kiuchumi, kitechnologia, kisera etc) kuliko mtu wa kawaida anavyofikiri. Ukiweza kukabiliana na changamoto hizo ni wazi kuwa utaweza kufanikiwa zaidi ktk maisha.

Ushauri kwa mtu anayetarajia kuingia ktk ndoa lakini anategemea asikutane na changamoto basi afute wazo la kuoa/kuoelewa.Kifupi taasisi ya ndoa ni ngumu kuindesha kuliko ofisi ya raisi wa nchi (nchi yenye utaratibu mzuri sio kama). Ndoa sio static ndoa huendelezwa hivyo kama huna weledi mzuri wa kuifahamu ndoa yako na kui-steer mnakotaka basi maisha ya ndoa yatakuwa magumu kuliko mwanandoa alivyokuwa single. Niseme tu the best option ni kuishi ktk ndo kwani kuna faida nyingi zaidi kuliko vinginevyo. Ktk ndoa mtapata fursa ya kujumuisha nguvu zenu kwa pamoja ktk kuleta maendeleo yenu nk.

Final word niseme mara nyingi kushindwa ktk maisha ya ndoa ni kushindwa kiuongozi hata ktk maeneo mengine ya maisha. Look around utaona wenye matatizo ktk ndoa hata makazini huwa na shida pia, hasa ktk kuwaongoza watu kama wana majukumu ya kuwasimamia watu wengine.
 
Ndio maana tunatakiwa tuwe makini wakati tunachagua wenza wa maisha ili yasije tukuta haya. kuna mengine hayavumiliki ndio maana wanatoka na wanaingia cause wamependana na wanataka waishi maisha yao yote wakiwa pamoja. na ukiingia humo ndani ni kumsoma mwenzio tu ukishammaster nini anataka hutashindwa kamwe hata awee na matatizo ya aina gani. wengi wamefanikiwa kwa nini wew ushindwe?ukijiuliza hivo utastukia miaka inakatika tu bila kujua.
 
Katika mapenzi ushauri hutolewa tu pale mtu anapokuwa tayari kaumizwa au mambo yake yanaenda vibaya ila ni vigumu sana kusikia mtu akiomba ushauri wa namna ya kuingia katika mapenzi kwani wengi wao wanakuwa tayari wamekwishachanganywa na mapenzi hivyo kutokuwa rahisi kushaurika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom